lema hakuna kitu alichofanya arusha zaidi ya kushusha uchumi wa arusha kwa vurugu zake na maandamano na genge lake la wahuni. wana arusha tumemchoka hatumtaki tena
Mimi nafikiri ni busara kuisemea nafsi yako mwenyewe. Unaposema wana Arusha unamaanisha nini? kuna kikao chochote cha wana Arusha kilichopitisha maamuzi hayo!? Binafsi ni mwana Arusha lakini sijawahi kusikia, wala kupata tetesi juu ya kikao kilichotoa hayo maamzi na kukutuma kuyaleta jamvini. Kwa mtizamo wangu, siasa zenye usindani mkubwa kama Arusha, mtu kama Lema bado anahitajika. Si rahisi kuona kile alichokifanya, lakini walioko kwenye system wanatambua kuwa mqmbo mengi yanafanyika kwasababu ya uwepo wa huyu unayeona hafai!