Hon. Aikambe
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 443
- 70
Je tunamuhitaji huyu bwana??? Ameifanyia nini arusha??
Naomba sana kusimamishwa ubunge isije ikawa kigezo cha underachievement
nawakilisha
sema nafsi yako siyo kila mtu ana chuki binafsi, kuliko lema asiwepo arusha kama unavyo taka bac utaleta watoto wako wakike na mke wako tuchague mbunge kati yao