Hata hapa linawezekana kama spika angekuwa wa upinzani, ni sawa na wewe hapo upewe wazazi wawili mmoja ni baba yako na mwingine siyo baba yako ni yupi utamuheshim zaidi kuliko mwingine? Tusubili maamuzi ya senet juu ya trump ndo tutajua kama watamtosa basi tutajua wana demokrasia lakini wakimbakiza hawatakuwa na tofauti na hapa kwetu.
Kumbuka hata hapa kwetu mwiguru aliwaki kukanyaga taarifa ya upinzani, na wao pia hukashifu taarifa za serikari.
Haaaaa.....Yupo sana hapa Kwetu nchini Malawi Mkuu.
Hahahahaha imebidi ni like tu maana pua kitenesi kamwe hatoweza kwake hili ni jambo gumu ni kama movie ya kutisha hata kusikia tu.Spika wa Bunge Marekani, Nancy Pelosi amechana hotuba ya Rais Donald Trump muda mfupi baada ya kumaliza kuisoma wakati akihutubia Bunge kwa kile kilichoelezwa kuwa kiongozi huyo wa Marekani hakumpa mkono wakati anamkabidhi nakala.
Chanzo Habari: Mwananchi Online
Hivi Yule Spika Mmoja hivi wa Afrika Mashariki ‘ Pua Kitenesi ‘ ana hata ‘ Ubavu ‘ kwa Kumuiga Mwanamama ‘ Shujaa ‘ Spika Pelosi pale na Yeye Siku moja ikitokea akaonyeshwa ‘ dharau ‘ kama aliyofanyiwa Spika Mwenzake kwa Rais Mwalimu Mkemia?
Naamini huenda hapa kukawa na Somo zuri, jema na kubwa sana tu Kwake Spika ‘ Pua Kitenesi ‘ wa Afrika Mashariki na Kati.
Nawasilisha.
Huko hukoBunge letu la wapi Mkuu? Una maanisha hili hapa nilipo Mimi Kimakazi nchini Malawi au?
Utaweza mambo ya haki sawa ?Yule mama sijui kabila gani, nataka nikaoe kwao.
Sent from my ONEPLUS A5010 using Tapatalk
😂😂Samahani unaposema ' hapa ' una maanisha wapi labda? Kwani na Wewe kumbe tupo wote hapa nchini Malawi Jijini Lilongwe au?
Sahihi kabisa Mkuu
Spika wa Bunge Marekani, Nancy Pelosi amechana hotuba ya Rais Donald Trump muda mfupi baada ya kumaliza kuisoma wakati akihutubia Bunge kwa kile kilichoelezwa kuwa kiongozi huyo wa Marekani hakumpa mkono wakati anamkabidhi nakala.
Chanzo Habari: Mwananchi Online
Hivi Yule Spika Mmoja hivi wa Afrika Mashariki ‘ Pua Kitenesi ‘ ana hata ‘ Ubavu ‘ kwa Kumuiga Mwanamama ‘ Shujaa ‘ Spika Pelosi pale na Yeye Siku moja ikitokea akaonyeshwa ‘ dharau ‘ kama aliyofanyiwa Spika Mwenzake kwa Rais Mwalimu Mkemia?
Naamini huenda hapa kukawa na Somo zuri, jema na kubwa sana tu Kwake Spika ‘ Pua Kitenesi ‘ wa Afrika Mashariki na Kati.
Nawasilisha.
Kule duniani hakuna kuabudiana we ukifanya ujinga watu wanakufanyia upuuzi.Mimi simsaport yoyote pale ila hana adabu kuchana hotuba kivile hata kama mnatofautiana na raisi wa nchi.Ndio wale akina mama ndani ya ndoa wakiudhiwa tu wanasikia kichefuchefu na kuanza kufanya mambo ya ajabu.Khaaa sio poa kabisa
Spika wa Bunge Marekani, Nancy Pelosi amechana hotuba ya Rais Donald Trump muda mfupi baada ya kumaliza kuisoma wakati akihutubia Bunge kwa kile kilichoelezwa kuwa kiongozi huyo wa Marekani hakumpa mkono wakati anamkabidhi nakala.
Chanzo Habari: Mwananchi Online
Hivi Yule Spika Mmoja hivi wa Afrika Mashariki ‘ Pua Kitenesi ‘ ana hata ‘ Ubavu ‘ kwa Kumuiga Mwanamama ‘ Shujaa ‘ Spika Pelosi pale na Yeye Siku moja ikitokea akaonyeshwa ‘ dharau ‘ kama aliyofanyiwa Spika Mwenzake kwa Rais Mwalimu Mkemia?
Naamini huenda hapa kukawa na Somo zuri, jema na kubwa sana tu Kwake Spika ‘ Pua Kitenesi ‘ wa Afrika Mashariki na Kati.
Nawasilisha.
Ni kweli Mkuu,CAG aliyepita hakukosea kuwaita dhaifu.Mwigulu Nchemba alishawahi kuchana hotuba ya Wapinzani Bungeni na hakufanywa kitu chochote mpaka leo anadunda tu.