myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 147,833
- 657,057
🤣Exactly ukipata chance ni kutengeneza maisha ya kizazi chako kisiwe omba omba
Ngoja niishie hapa mwanasheriawangu yupo masomoni😀
🤣Exactly ukipata chance ni kutengeneza maisha ya kizazi chako kisiwe omba omba
Ngoja niishie hapa mwanasheriawangu yupo masomoni😀
Mimi nakosa jibu. Maana hasara zinazotangazwa na CAG wakati tunaambiwa wako kila kona kila sekta kila kitengo kila ofisi ya umma. Naishia kushangaa sana.Pengine wapo usalama wazalendo lkn pia wapo ambao sio wazalendo maana nao ni binaadam pia
Siku ile alipoambiwa kuwa Mayalla ni njaa na Magufuli kumbe ilikuwa ni zuga tu.😅😅😅hawajitangazi ila jamaa ni mzalendo sana.
Wanaajiri wapi mimi sifa zote ninazo na zaidiMimi nikujibu swali lako la mwisho:-
SIFA KUBWA YA KUAJILIWA NA USALAMA WA TAIFA NI
1. Awe na Maarifa
2. Awe na Uelewa
Mengine ni blah blah tu!
Una billioni Moja nikupe connection?Wanaajiri wapi mimi sifa zote ninazo na zaidi
Una billioni Moja nikupe connection?
Una billioni Moja nikupe connection?
We umeishasikia wapi Kazi za Usalama wa Taifa zinatangazwa? Ulitaka nimjibuje?Kishoka
😅😅😅CIA na FBI tuWe umeishasikia wapi Kazi za Usalama wa Taifa zinatangazwa? Ulitaka nimjibuje?
Utengeneze maisha ya kizazii chako Kwa kuiba pesa ya WalaLa hoi walipa Kodi watanzania utafika mbinguni umechoka Sana wewe na kizazii chako 😀Exactly ukipata chance ni kutengeneza maisha ya kizazi chako kisiwe omba omba
Ngoja niishie hapa mwanasheriawangu yupo masomoni😀
Mama anasema "nashangaa wanakula hawatosheki tu!!!🤣"Uzalendo uliondoka na Nyerere mwaka 1999.
kwa sasa, our motto ni: kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake
Kuna mambo nafikiria ikiwa kweli usalama wa Taifa ni wazalaendo wa Tanzania.
Je Usalama wa Taifa hawawezi kudhibiti ufisadi unaofanyika? au na wao wanashiriki?
Je usalama wa taifa hawawezi kuithibiti serikali ikiwa inakwenda kinyume na maadili ya kazi yake au wao ndio serikali
Je usalama wa Taifa Inalinda kweli maslahi ya nchi au inalinda viongozi wa serikali?
Je ni kweli watumishi wa usalama hupatikana kutokana na uwezo wao kuzingatia uzalendo wao? au mjomba na shangazi wanapewa nafasi tu.
Nahisi tunapaswa kubadilika
Uzalendo uliondoka na Nyerere mwaka 1999.
kwa sasa, our motto ni: kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake
Sijasema wameiba kaka Sina mwanasheria ujueUtengeneze maisha ya kizazii chako Kwa kuiba pesa ya WalaLa hoi walipa Kodi watanzania utafika mbinguni umechoka Sana wewe na kizazii chako 😀
Hilo ni genge la wahuni wachache wanaolamba asali.Kuna mambo nafikiria ikiwa kweli usalama wa Taifa ni wazalaendo wa Tanzania.
Je Usalama wa Taifa hawawezi kudhibiti ufisadi unaofanyika? au na wao wanashiriki?
Je usalama wa taifa hawawezi kuithibiti serikali ikiwa inakwenda kinyume na maadili ya kazi yake au wao ndio serikali
Je usalama wa Taifa Inalinda kweli maslahi ya nchi au inalinda viongozi wa serikali?
Je ni kweli watumishi wa usalama hupatikana kutokana na uwezo wao kuzingatia uzalendo wao? au mjomba na shangazi wanapewa nafasi tu.
Nahisi tunapaswa kubadilika
Ni swala la muda tuu,niliona milima ya uluguru nikajiuliza hivi sniper akiwa pale club gymcana hawezi fanya yakeKuna mambo nafikiria ikiwa kweli usalama wa Taifa ni wazalaendo wa Tanzania.
Je Usalama wa Taifa hawawezi kudhibiti ufisadi unaofanyika? au na wao wanashiriki?
Je usalama wa taifa hawawezi kuithibiti serikali ikiwa inakwenda kinyume na maadili ya kazi yake au wao ndio serikali
Je usalama wa Taifa Inalinda kweli maslahi ya nchi au inalinda viongozi wa serikali?
Je ni kweli watumishi wa usalama hupatikana kutokana na uwezo wao kuzingatia uzalendo wao? au mjomba na shangazi wanapewa nafasi tu.
Nahisi tunapaswa kubadilika
kwamba wewe ni sniperNi swala la muda tuu,niliona milima ya uluguru nikajiuliza hivi sniper akiwa pale club gymcana hawezi fanya yake