Je, tuna uhakika kuwa Usalama wa Taifa ni Wazalendo?

Kuna mambo nafikiria ikiwa kweli usalama wa Taifa ni wazalaendo wa Tanzania.

Je Usalama wa Taifa hawawezi kudhibiti ufisadi unaofanyika? au na wao wanashiriki?

Je usalama wa taifa hawawezi kuithibiti serikali ikiwa inakwenda kinyume na maadili ya kazi yake au wao ndio serikali

Je usalama wa Taifa Inalinda kweli maslahi ya nchi au inalinda viongozi wa serikali?

Je ni kweli watumishi wa usalama hupatikana kutokana na uwezo wao kuzingatia uzalendo wao? au mjomba na shangazi wanapewa nafasi tu.

Nahisi tunapaswa kubadilika
Rais ndiyo mkuu wa nchi na ndio consumer wa kwanza wa taarifa muhimu za vyombo vya ulinzi na usalama.
Hakuna hata siku moja utaona uongozi wa TISS wamejitokeza kujieleza kwamba wamesema hili na lile. Lakini wanafanya na wanashauri.
 
Rais ndiyo mkuu wa nchi na ndio consumer wa kwanza wa taarifa muhimu za vyombo vya ulinzi na usalama.
Hakuna hata siku moja utaona uongozi wa TISS wamejitokeza kujieleza kwamba wamesema hili na lile. Lakini wanafanya na wanashauri.
sawa wasiseme haya yanayotokea wao hayawahusu hawayaoni? mfano mdogo ripoti ya cag makosa yanafanyika kwa kiasi kikubwa wao wapo wapi? Great thinkers wanazidiwa akili kuibiwa wazi wazi
 
Tatizo na wenyewe ni watu ,wanaangalia upepo unaelekea wapi.Hata ukiwa ni wewe huwezi pingana na mfumo unaokupa mema ya nchi , siku ukibahatka hutaongea lugha hii,
 
Tatizo na wenyewe ni watu ,wanaangalia upepo unaelekea wapi.Hata ukiwa ni wewe huwezi pingana na mfumo unaokupa mema ya nchi , siku ukibahatka hutaongea lugha hii,
 
Tatizo na wenyewe ni watu ,wanaangalia upepo unaelekea wapi.Hata ukiwa ni wewe huwezi pingana na mfumo unaokupa mema ya nchi , siku ukibahatka hutaongea lugha hii,
sio kweli wapo watu ambao wana uchungu na hali ilivyo, Ni wazalendo, kama wapo wanaolia sababu simba na yanga kufungwa watakosaje Watakaolia kwa Tanzania kuumia?
 
Mimi nikujibu swali lako la mwisho:-


SIFA KUBWA YA KUAJILIWA NA USALAMA WA TAIFA NI

1. Awe na Maarifa
2. Awe na Uelewa

Mengine ni blah blah tu!
 
Kwa kuwa umetaka kujua ......acha nikupe darasa kidogo

Usalama wa Taifa ni kuhakikisha wewe na familia Yako wanaishi vizuri ..that why unaona Tanzania sio sawa na somalia...be proud of it


Kazi za kudeal na ufisadi ni TAKUKURU ....na vyombo vingine husika ..

Kila kitu kina mipaka yake
 
Kuna mambo nafikiria ikiwa kweli usalama wa Taifa ni wazalaendo wa Tanzania.

Je Usalama wa Taifa hawawezi kudhibiti ufisadi unaofanyika? au na wao wanashiriki?

Je usalama wa taifa hawawezi kuithibiti serikali ikiwa inakwenda kinyume na maadili ya kazi yake au wao ndio serikali

Je usalama wa Taifa Inalinda kweli maslahi ya nchi au inalinda viongozi wa serikali?

Je ni kweli watumishi wa usalama hupatikana kutokana na uwezo wao kuzingatia uzalendo wao? au mjomba na shangazi wanapewa nafasi tu.

Nahisi tunapaswa kubadilika
Polisi Wala Rushwa Wakubw na Wapiga Madiri

Jeshi siku hizi ni la michongo michongo

UNATEGEMEA HAO USALAMA wanatoka Mbinguni?
 
Back
Top Bottom