mpendachake
Member
- Feb 26, 2015
- 17
- 3
Poleni wanajamvi kwa shughuli naomba kuuliza hivi ubadilishwaji wa plate number za pikipiki, bajaj na maguta kuambiwa elfu 10 kama unaumiliki halali na card afu usumbufu na urasimu mwingi hadi itakucost 60000/ na kama unabadili jina na number mpya ndo balaaaa 150000 au zaidi je huku ndo kuwajali wananchi na serikali ya CCM mnaliona!! Au ndo mnatuzuga eti ni elfu 10000 tu naomba kuwasilisha kwetu