Zulu Man Tz
Member
- Sep 23, 2020
- 73
- 99
- Thread starter
- #21
Wachina wajanja walivopelekwa kusoma wakirudi wanaunda mifumo ila watu wa Afrika huku wakienda uko Ulaya hawatak kurud wanabak kutatua matatizo ya wazungu wakat uku bibi zao wanahangaikaTigers of the east plus China kuna mikono mingi sana ya west mule! Nafuu yao tofauti na sisi walitumia vizuri fursa.