Ndio maana Lowassa alisema serikali haina maamuzi. Sasa nani mlitaka aseme wakati boss wao alikuwa kimya. Kwanza ingekuwa wakati wa Lowassa, wala yasingefika kwa Luhanjo. Pinda na JK wote wazito wanamuachia tu Luhanjo kufanya maamuzi. Ameyafanya, oooh kafanya vibaya, kwanza mkabila, oooh sijui nini. Gosh!
Hivi Jairo naye Mbena?