Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Naamini mojawapo ya mambo yanayotakiwa kuchunguzwa na kamati ya bunge ni kukiukwa na kuingiliwa kwa mamlaka ya bunge. Mhusika mkuu katika hili ni Luhanjo.
Kama Jairo kaenda likizo kupisha uchunguzi juu ya makusanyo yenye utata, je sio muhimu Luhanjo nae aende likizo kupisha uchunguzi kuwa aliingilia na kukiuka mamlaka ya bunge?
Kama Jairo kaenda likizo kupisha uchunguzi juu ya makusanyo yenye utata, je sio muhimu Luhanjo nae aende likizo kupisha uchunguzi kuwa aliingilia na kukiuka mamlaka ya bunge?