Kuna wimbi kubwa la kubinafisishwa kwa Taasisi za serikali na mashirika ya umma ili kuleta ufanisi katika taasisi hizo. Mfano wa hivi karibuni ni Bandari yetu ya Dar es Salaam.
Hoja inayotolewa na wenye mamlaka ni kuongeza ufanisi wa bandari yetu ama kwa lugha rahisi ni kwamba serikali haiwez kusimamia na kuleta ufanisi wa kiwango bora kwa Taifa. Kwenye taasisi au mashirika ya umma
Hoja yangu ni kwamba uduni wa huduma hapa nchini upo kila wizara na sekta zote kuanzia huduma mbovu za Elimu kwenye shule za serikali, huduma duni kabisa kwenye Afya, huduma mbovu kwenye maji, umeme na mengine mengi kila huduma inayotolewa na serikali yetu ama ni ya kiwango duni au inatolewa kwa kuchelewa sana.
Kwa kifupi Serikali imeshindwa kuleta ufanisi sehemu yoyote inaposimamia au kutoa huduma. Swali ni Je, kama tunaami katika sekta binafsi na mambo ya ubia kwa nini serikali isibinafisishwe ili kuleta tija kwa taifa? Au isiwe ya ubia na sekta binafsi ili kuleta ufanisi wa huduma mbovu zinazotolewa na kusimamia na serikali?
Mfano wizara nzima ya habari na mawasiliana ibinafisishwe kwa Elon Musk, na wizara ya nishati tuwape Total Energies ya Ufaransa, wizara ya Ulinzi wapewe Wagner group ya urusi, m michezo na utamaduni tuwape Sport Pesa na wizara ya ujenz wakapewa CHICO ya China?
Tusijifiche kwenye masuala ya sera za nchi hilo tunawapa KPMJ company kutunga na kuendeleza sera za nchi.
johnthebaptist Pascal Mayalla
Hoja inayotolewa na wenye mamlaka ni kuongeza ufanisi wa bandari yetu ama kwa lugha rahisi ni kwamba serikali haiwez kusimamia na kuleta ufanisi wa kiwango bora kwa Taifa. Kwenye taasisi au mashirika ya umma
Hoja yangu ni kwamba uduni wa huduma hapa nchini upo kila wizara na sekta zote kuanzia huduma mbovu za Elimu kwenye shule za serikali, huduma duni kabisa kwenye Afya, huduma mbovu kwenye maji, umeme na mengine mengi kila huduma inayotolewa na serikali yetu ama ni ya kiwango duni au inatolewa kwa kuchelewa sana.
Kwa kifupi Serikali imeshindwa kuleta ufanisi sehemu yoyote inaposimamia au kutoa huduma. Swali ni Je, kama tunaami katika sekta binafsi na mambo ya ubia kwa nini serikali isibinafisishwe ili kuleta tija kwa taifa? Au isiwe ya ubia na sekta binafsi ili kuleta ufanisi wa huduma mbovu zinazotolewa na kusimamia na serikali?
Mfano wizara nzima ya habari na mawasiliana ibinafisishwe kwa Elon Musk, na wizara ya nishati tuwape Total Energies ya Ufaransa, wizara ya Ulinzi wapewe Wagner group ya urusi, m michezo na utamaduni tuwape Sport Pesa na wizara ya ujenz wakapewa CHICO ya China?
Tusijifiche kwenye masuala ya sera za nchi hilo tunawapa KPMJ company kutunga na kuendeleza sera za nchi.
johnthebaptist Pascal Mayalla