mzeempili
JF-Expert Member
- Aug 16, 2021
- 327
- 531
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ameweza kujipambanua kwa hatua mbalimbali nyingi zikikinzana na za mtangulizi wake.
Ninaamini atakuwa alijiwekea lengo la kuibuka mshindi siku zijazo za hii tuzo "lucrative" ya Mo Ibrahim. Endapo atashinda tuzo hii, Tanzania itaingia kwenye nafasi nzuri sana kidemokrasia na hali za maisha ya watu.
Ni jukumu letu sote kuendelea kumkumbusha pale atakapoonekana kukengeuka na kuacha roadmap ya kumpa tuzo hii. Mama anaweza
Ninaamini atakuwa alijiwekea lengo la kuibuka mshindi siku zijazo za hii tuzo "lucrative" ya Mo Ibrahim. Endapo atashinda tuzo hii, Tanzania itaingia kwenye nafasi nzuri sana kidemokrasia na hali za maisha ya watu.
Ni jukumu letu sote kuendelea kumkumbusha pale atakapoonekana kukengeuka na kuacha roadmap ya kumpa tuzo hii. Mama anaweza