Yiyu Sheping
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 1,720
- 841
Nimekuelewa sana tu, uko katika kuwafunda walio katika nafasi za maamuzi. Lakini kuna ukweli ambao hutaki kukiri nao ni JPM asinge weza kufanya haya anayofanya sasa kama Rais wakati akiwa Mbunge na waziri. Sanasana angejiuzulu pengine akarudi kwao kulima ngombe na hata asingekuwa Rais leo hii. Na asinge fanya haya afanyao kama Rais maana si Rais.
Na washawasha!
Na washawasha!
Umeelewa nnachisema mkuu?? Nani kasema sipendi hatua zinazokuliwa?
Point yangu waache unafiki na wanapoona ujinga wasikae kimya na kupiga makofi tu bungeni! Thats my point mkuu!!