BRAVER
Senior Member
- Jun 23, 2015
- 105
- 94
Timing. Hakuwa wakati. Mfumo uliokuwepo ungemtupa nje na kupoteza na pengine leo tungekuwa katika hali mbaya. Ukombozi unataka mipango mkakati na ni mipango mkakati ya muda mrefu sio papara.Hii ndiyo point mengine hayana maana!! Sasa je kama hakuyapenda kwanini hakusema aua hata walau kushauri???
Tumuaminije sasa??