Non-Shatter
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 597
- 264
Mama Obama nataka nikuulize swali.
Wewe una familia, Kosa lifanyike wewe ukawa part ya lile kosa. Hebu niambie utasahihishaje hilo kosa? Na utahakikisha vipi kosa kama lile halitatokea tena?
Kiongozi mkuu wa nchi hawezi na hapaswi kufanya kazi kwa kujaribu. Lazima kuwe na misingi madhubuti ya kutupeleka mbele.
Wewe una familia, Kosa lifanyike wewe ukawa part ya lile kosa. Hebu niambie utasahihishaje hilo kosa? Na utahakikisha vipi kosa kama lile halitatokea tena?
Kiongozi mkuu wa nchi hawezi na hapaswi kufanya kazi kwa kujaribu. Lazima kuwe na misingi madhubuti ya kutupeleka mbele.