Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,576
- 51,383
- Thread starter
- #41
Vikao vya UN ni vikao vya kupoteza muda na kula bata tu hasa kwa marais wa Africa. Unakuta Rais toka Africa anapoteza pesa kwenda kuongea nusu saa tu kama sio upuuuzi ni nini! Unachoongea chenyewe hamna anaezingatia. Kazi hiyo anaweza fanya muwakilishi tu sio Rais na msafara wake.
Ian Khama Rais aliyepita wa Botswana alikua haudhuruu kabisa huu upuuzi na nchi yake ilipiga hatua zaidi chini ya utawala wake.
Kule UN kuna mambo ya pembeni yanayoendelea kwenye corridor za diplomasia kuliko kuongea hiyo nusu saa
Kuna kukutana on the sideline na viongozi wenzako wa mataifa mbalimbali mkazungumza ushirikiano
Kuna kukutana na delegations za wafanyabiashara na wawekezaji etc
Ina maana hata Nyerere alipokuwa akienda huko alikuwa anapoteza pesa?