Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,182
- 4,443
Kama anaitembelea, je ni feedback gani anapata?
Nadhani hili ni jukwaa huru la watanzania wasomi kwa mbumbumbu, wake kwa waume wa dini na rika mbalimbali kutoa maoni yao.
Mengi yaliyokuwa yakiongelewa hapa kabla ya uchaguzi hakika yamenitimia.
Nadhani JF hiki si chombo cha kupuuzwa na rais, ila inabidi akienzi na kukitumia kupata maoni ya watu wake.
Nadhani hili ni jukwaa huru la watanzania wasomi kwa mbumbumbu, wake kwa waume wa dini na rika mbalimbali kutoa maoni yao.
Mengi yaliyokuwa yakiongelewa hapa kabla ya uchaguzi hakika yamenitimia.
Nadhani JF hiki si chombo cha kupuuzwa na rais, ila inabidi akienzi na kukitumia kupata maoni ya watu wake.