Je RAIS huwa anaitembelea JAMII FORUMS?

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Feb 18, 2010
4,059
4,055
Kama anaitembelea, je ni feedback gani anapata?

Nadhani hili ni jukwaa huru la watanzania wasomi kwa mbumbumbu, wake kwa waume wa dini na rika mbalimbali kutoa maoni yao.

Mengi yaliyokuwa yakiongelewa hapa kabla ya uchaguzi hakika yamenitimia.

Nadhani JF hiki si chombo cha kupuuzwa na rais, ila inabidi akienzi na kukitumia kupata maoni ya watu wake.
 
Hata kama yeye hana "MIGUU" ya kutembelea humu, wanawe wamo humu wanamjuza!!
 
Hata akitembelea hana jipya.

Kwanza tuelewe kwamba tusitarajie mabadiliko katika uchumi wa nchi. Pigo la kwanza ni ada za wanafunzi vyuoni anazo za kutosha?

Acha tusubiri
 
Anaitembelea au anapata taarifa zake "refer hotuba yake ya uzinduzi wa kampeni Jangwani". Anai-support ni jicho la tatu baada ya Bunge na Magazeti. In fact baadhi ya magazeti huwa wanachukua nondo humu.

Si ajabu ni Premium Member wa siri anayechangia fweza. Kama si hivyo ingefungwa kwa kisingizio chochote hata kama JF tunakuwa governed na international laws.
 
Dr, SLAA kwa usomi wake huwa anatembelea humu kwa sana tu na NONDO nyingi anazipatia humu.
 
Yawezekana anatizama hata zeutamu aliiona picha yake..... na sijui ile kesi imeishia wapi hebu nifahamisheni wadau
 
Back
Top Bottom