Je programmers huwa wanakumbuka lugha (programming languages) zote ambazo wamejifunza ?

Patiee

JF-Expert Member
Sep 20, 2018
474
717
" Hapana, binafsi naandika programu mbalimbali kwa lugha tano tofauti, na Google pamoja na StackOverflow vimekuwa msaada wangu mkubwa. Proffesor wangu mmoja chuo kikuu aliwahi kusema " haulipwi kwa kujua jibu la swali, bali unalipwa kwa kujua wapi pa kutafuta jibu la swali".

Na huo ni ukweli mtupu, ninaweza nisijue syntax ya mstari fulani wa kodi ninaouhitaji, lakini najua namna unavyoonekana na kazi ninayotaka ufanye, hivyo ninautafuta haraka na unakamilisha kazi yangu wakati mtu mwingine hajui hata wapi ataanzia ".
Maneno haya anasema bwana Mats Bauer Mobile application developer wa kampuni ya Quoori huko nchini Ujerumani.

Kwangu mimi nimefanya project kadhaa kwa JavaScript na Java na inafika kipindi nataka kuweka functionality fulani lakini nashindwa ku implement kwa lugha husika na hivyo StackOverflow imekuwa ni mkombozi wangu katika incidence hizo.
Nini maoni yako juu ya hili ?
 
Mimi niliandika programming kwenye karatasi kisha nikaimeza toka siku hiyo ufanyaji kazi wa mwili umeboreka sana
 
Siku kama ya leo miaka 12 iliyopita, stackOverflow ilikuwa launched. Imagine programming bila stackOverflow
 
" Hapana, binafsi naandika programu mbalimbali kwa lugha tano tofauti, na Google pamoja na StackOverflow vimekuwa msaada wangu mkubwa. Proffesor wangu mmoja chuo kikuu aliwahi kusema " haulipwi kwa kujua jibu la swali, bali unalipwa kwa kujua wapi pa kutafuta jibu la swali".

Na huo ni ukweli mtupu, ninaweza nisijue syntax ya mstari fulani wa kodi ninaouhitaji, lakini najua namna unavyoonekana na kazi ninayotaka ufanye, hivyo ninautafuta haraka na unakamilisha kazi yangu wakati mtu mwingine hajui hata wapi ataanzia ".
Maneno haya anasema bwana Mats Bauer Mobile application developer wa kampuni ya Quoori huko nchini Ujerumani.

Kwangu mimi nimefanya project kadhaa kwa JavaScript na Java na inafika kipindi nataka kuweka functionality fulani lakini nashindwa ku implement kwa lugha husika na hivyo StackOverflow imekuwa ni mkombozi wangu katika incidence hizo.
Nini maoni yako juu ya hili ?
Jibu ni hapana,huwa hatukumbuki kila kitu.

Google is our best friend.
 
nimesoma flutter online
naona ukiijua vyema hii hauna haja ya kujua lugha yoyote kwakweli google wamefanya makubwa sana
unaweza kufanya app,web,software full kwa lugha moja tu na iko simple sana na ni multipurpose na ni multitask haswaaa
programmers waliosoma zamani nadhani ndio wanaopata shida sana sababu inabidi asome lugha zaidi ya moja sababu zinakuwa zingine hazifanyi baadhi ya mambo
mfano ukitumia html inakubidi ujue na css ujue na java yaani shida tupu ila ukiwa na flutter unatereza tu kama unanawa yaani
 
nimesoma flutter online
naona ukiijua vyema hii hauna haja ya kujua lugha yoyote kwakweli google wamefanya makubwa sana
unaweza kufanya app,web,software full kwa lugha moja tu na iko simple sana na ni multipurpose na ni multitask haswaaa
programmers waliosoma zamani nadhani ndio wanaopata shida sana sababu inabidi asome lugha zaidi ya moja sababu zinakuwa zingine hazifanyi baadhi ya mambo
mfano ukitumia html inakubidi ujue na css ujue na java yaani shida tupu ila ukiwa na flutter unatereza tu kama unanawa yaani
Is it true.Yani lugha moja inasolve matatizo yote mh ngoja nijifunze.Sasa kwa nini hio lugha haipo hata top 5, what about GO. Ka nini google walidevelop Go na sasa hio flutter imekaa aje?
 
Is it true.Yani lugha moja inasolve matatizo yote mh ngoja nijifunze.Sasa kwa nini hio lugha haipo hata top 5, what about GO. Ka nini google walidevelop Go na sasa hio flutter imekaa aje?
Jaribu kuangalia broo na ni lugha ya hawa hawa google na naweza nikasema ndio lugha pekee inayoweza fanya mengi ambayo yanahitaji uweze kutumia garama zaidi
napia katika mambo yote nishawahi fanya nadhani hii ndio lugha ya kwanza unaweza kuitwist namna unayotaka maana kila code unaitumia vilevile kuanzia app,software au website
iko poa sana unaweza uka google ukaangalia details zake zaidi ukiwa na flutter hauhitaji lugha zingine kufanya chochote zaidi afu unatumia server za google for free kabisa
 
P ni practicse. Lugha unayo practize zaidi ndio lugha itayokukaa zaidi. Usiyo practise sana.. utahitaji msaada wa github etc
 
Flutter sio lugha ni framework, lugha inayotumika ni Dart. Pamoja na kwamba imekuwa na umaarufu hivi karibuni ni wacheche sana wanaotumia Flutter professionally so kama unatafuta kazi au kufanya kazi na watu ni ngumu kutumia Flutter.
 
ndipo upeo wako wa ufikiri ulipoishia
kwa ivyo nisisome C,php, sql au python kwakua nimesoma Dart (japo wewe unaita flutter) ?
Sijasema usisome hizo nimeongelea flutter inauwezo wakunyooka yenyewe mwanzo mwisho pasipo kutumia languaje nyingine Nikweli dart ni language na ndio inatumika katika flutter na ilikuwa introduced 2011 hadi kufika 2017 ilibadirishwa mambo mengi sana na kuwa lugha mpya japo haijabadirishwa jina ila ndio language inayotumika katika flutter,
sisemi usisome zingine mimi naangalia ulimwengu uko wapi na unaenda wapi wew unaangalia darasani unafundishwa nini so tunatofautiana sana hapo kwakweli
 
P ni practicse. Lugha unayo practize zaidi ndio lugha itayokukaa zaidi. Usiyo practise sana.. utahitaji msaada wa github etc
kabisa nashangaa watu wananipinga na flutter wakati nilishaanzaaga na milanguage kibao iko very comlicated inataka mambo mengi sana mara ukatumie na lugha nyingine nk
ila flutter google wametukomboa sana ilianza kutengeneza app tu lakini kwasasa unfanya hadi software hadi web site na server bure kabisaaaa
 
nimesoma flutter online
naona ukiijua vyema hii hauna haja ya kujua lugha yoyote kwakweli google wamefanya makubwa sana
unaweza kufanya app,web,software full kwa lugha moja tu na iko simple sana na ni multipurpose na ni multitask haswaaa
programmers waliosoma zamani nadhani ndio wanaopata shida sana sababu inabidi asome lugha zaidi ya moja sababu zinakuwa zingine hazifanyi baadhi ya mambo
mfano ukitumia html inakubidi ujue na css ujue na java yaani shida tupu ila ukiwa na flutter unatereza tu kama unanawa yaani
Lakini hizo cross platform lugha hauwezi lingalisha na native languages kama kotlin, java au swift hata siku moja.
 
Back
Top Bottom