Je, Prof.Assad anaweza kushtakiwa?

Je, Prof.Assad anaweza kushtakiwa?

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
61,211
Reaction score
99,963
Mkuu akitoa ombi huwa ni Amri! Amesema kuna uchafu kwenye Ofisi ya CAG! Na pengine kuthibitisha uchafu huo akamuondoa Prof.Assad kwa kisingizio cha kustaafu( nimeita kisingizio kwa sababu, lugha iliyotumika haikua ya MTU anayestaafu Bali aliyekuwa terminated).

Rais ameonyesha mfano wa kuondoa "uchafu" kwenye ofisi ya CAG! Then kitakachofuata baada ya "uchafu" Kuondoshwa ni nini? Kuandaa hati ya mashtaka?

Je, Prof Assad ni "uchafu"? Je, watendaji watakaa kimya hawatatii maagizo ya kwenda kumalizia kuondoa " uchafu"? Na kama hakuna "uchafu" Prof anaweza kudai haki ya kuwa na ofisi yenye "uchafu"??

Je, wanaweza kuwafungulia mashtaka hao " wachafu" wengine kisha wakamuacha kumfungulia mashtaka "mchafu" mkubwa ambaye kiongozi wa nchi ameonyesha njia tayari?

Alamsiki....
 
Chunguza maisha ya polisi wote Tanzania hakuna hata jambo moja atafanikiwa ,akanunua gari itaanguka kila siku,akijenga nyumba kila siku bundi,fisi,yaani hawana baraka hata moja,atakaye jaribu kumfunga kumnyanyasa huyu mfia DINI,a.k.a Musa Assad maisha yake yatakuwa kama ya mbwa aliyezaa.
 
The Hero??
IMG-20191105-WA0057.jpeg
 
Duh, mbwa aliyezaa tena??
Chunguza maisha ya polisi wote Tanzania hakuna hata jambo moja atafanikiwa ,akanunua gari itaanguka kila siku,akijenga nyumba kila siku bundi,fisi,yaani hawana baraka hata moja,atakaye jaribu kumfunga kumnyanyasa huyu mfia DINI,a.k.a Musa Assad maisha yake yatakuwa kama ya mbwa aliyezaa.
 
Elli fanya kautafiti kadogo tu watu ambao hawana makwazo na watu namna maisha yao yanavyobarikiwa!!linganisha na hawa niliowataja hapo juu ni balaa ,ngoja nikuambie kitu askari wote waliouawa pale KIBITI wengi wao walikuwa wananyanyasa raia ,kuanzia mgambo mpaka polisi hawa nina ushahidi nao Mungu anaona kila jema na baya
 
Sina shaka na hili! Polisi wetu wanaishi maisha ya shida sana, kugongewa wake zao, UKIMWI, kujipiga risasi na mengineyo mabaya. Hakuna askari mwenye Mwisho mwema. Pumzika kwa amani Akwilina
Elli fanya kautafiti kadogo tu watu ambao hawana makwazo na watu namna maisha yao yanavyobarikiwa!!linganisha na hawa niliowataja hapo juu ni balaa ,ngoja nikuambie kitu askari wote waliouawa pale KIBITI wengi wao walikuwa wananyanyasa raia ,kuanzia mgambo mpaka polisi hawa nina ushahidi nao Mungu anaona kila jema na baya
 
Chunguza maisha ya polisi wote Tanzania hakuna hata jambo moja atafanikiwa ,akanunua gari itaanguka kila siku,akijenga nyumba kila siku bundi,fisi,yaani hawana baraka hata moja,atakaye jaribu kumfunga kumnyanyasa huyu mfia DINI,a.k.a Musa Assad maisha yake yatakuwa kama ya mbwa aliyezaa.


Ahahhhaa maisha ya mbw alozaa huwa yakoje mkuu..umenifurahisha
 
Kama nanihii? Wa nanihii??
Ila kama kuna kosa tumekukosea Ee Mungu tunaomba utusamehe!...yaani km nchi tunapita kwenye waya wa moto sana!
Mwenyezi Mungu ampe maisha marefu huyu Prof Assad!

Bdw!hivi kwann watu wasio wema huwa wanadumu???
 
Elli fanya kautafiti kadogo tu watu ambao hawana makwazo na watu namna maisha yao yanavyobarikiwa!!linganisha na hawa niliowataja hapo juu ni balaa ,ngoja nikuambie kitu askari wote waliouawa pale KIBITI wengi wao walikuwa wananyanyasa raia ,kuanzia mgambo mpaka polisi hawa nina ushahidi nao Mungu anaona kila jema na baya
umeongea Kweli, kuna wale polis waliokamatwa na takukuru mwezi uliopita,,mmoja anaitwa Ulimwengu, baba alikuwa mla rushwa na mnyanyasaji aswaa
 
PhD yenyewe ya kubumba, thesis umeificha, Kingereza hujui, wewe yako majungu na fitina, chuki na visasi, unatia aibu
 
Back
Top Bottom