papag
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 1,293
- 1,947
Habari wakuu?
Miezi 4 iliyopita nilifanyiwa upasuaji wa utumbo mdogo kulikuwa na uvimbe. Pale Aga khan hospital. Baada ya upasuaji, mguu wangu wa kulia ulivimba kwa kupata kitu kinaitwa " blood clots ". Nilitibiwa kwanza kwa kuvishwa soksi maalum baadae nikawa na dozi ya sindano na mwisho vidonge. Ukawa sawa.
Sasa wiki mbili zilizo pita nilianza mazoezi ya kutembea. Mwanzoni hakukuwana shida yeyote. Ila wiki hii nimefanikiwa kuweza kutembea kilomita 4.7.
Sasa ule mguu umerudia kuvimba ila sio kama mwanzo,ni kama 50% hivi.
Na hatua nilizo chukua ni kuacha kutembea.
JE KUNA TIBA YEYOTE YA KUWEZA KULIMALIZA TATIZO HILI?
AAhsanteni sana Dr's.
Miezi 4 iliyopita nilifanyiwa upasuaji wa utumbo mdogo kulikuwa na uvimbe. Pale Aga khan hospital. Baada ya upasuaji, mguu wangu wa kulia ulivimba kwa kupata kitu kinaitwa " blood clots ". Nilitibiwa kwanza kwa kuvishwa soksi maalum baadae nikawa na dozi ya sindano na mwisho vidonge. Ukawa sawa.
Sasa wiki mbili zilizo pita nilianza mazoezi ya kutembea. Mwanzoni hakukuwana shida yeyote. Ila wiki hii nimefanikiwa kuweza kutembea kilomita 4.7.
Sasa ule mguu umerudia kuvimba ila sio kama mwanzo,ni kama 50% hivi.
Na hatua nilizo chukua ni kuacha kutembea.
JE KUNA TIBA YEYOTE YA KUWEZA KULIMALIZA TATIZO HILI?
AAhsanteni sana Dr's.