Kama ulitumia kondom, jua mimba ndo ishaingia hivyo. Utakuwa umesevu ukimwi tu lakini mimba iko palepale...
BTW... alikufikisha kileleni? Alikojoa mara ngapi??
Nataka nikusaidie kukalkuleti speed ya sperms ili nijue kama itakuwa mimba ya baamedi mtarajiwa au jambazi ajaye...
Na huyo aliyefanya zinaa??? Mi unanionea bure ujue...We jamaa ujue Mungu anakuona
Kwa namna ulivoniambia, unabii wangu umenielekeza hivyo. Jihadhari usiwe unachuchumaa mara kwa mara, katoto kasije kakachoropoka kabla ya muda...Kwann kaka
LOLWe mbona hufanyagi... huoni kama itapata kutu??
wote mmekosa unless mleta mada atuambie mzunguko wake ni wa siku ngap ndo tujue imo au haimo. kama mzunguko ni siku 28 imoUkihesabu kwanzia tarehe ulioona siku zako na tarehe aliokutana na mpnz wako unajukuta unaangukia siku ya 14 ambayo ni siku muafaka kabisa ww kushika ujauzito kwa hiyo kuwa na amani hiyo ni kitu mubashara kbs.
deepKama ulitumia kondom, jua mimba ndo ishaingia hivyo. Utakuwa umesevu ukimwi tu lakini mimba iko palepale...
BTW... alikufikisha kileleni? Alikojoa mara ngapi??
Nataka nikusaidie kukalkuleti speed ya sperms ili nijue kama itakuwa mimba ya baamedi mtarajiwa au jambazi ajaye...
hahah... kwelAisee... Usikute jamaa hata hajui kama ametegeshewa maskini...,,,,
Upo sahihi sana lkn kwa kiasi tumepatiawote mmekosa unless mleta mada atuambie mzunguko wake ni wa siku ngap ndo tujue imo au haimo. kama mzunguko ni siku 28 imo
UNAWEZA SHIKA MKUUNilianza period tarehe 4 mwezi huu nikamaliza tarehe 6. Mpenzi wangu akaja tarehe 16 tunasex na kesho anaondoka.
Najiuliza nitapata mimba kweli? Natamani mtoto jamani.
Dah.... Hata mimi nashangaa.... Kwanini isiwe kuanzia 28 hivi ili Angalau hata wale waajiriwa wawe vizuri kidogo kimfuko?hivi mimba inapatika tarehe 16!!!!? mimi nilikuwa sijui..
Nimefanya trh 18 na aliyemaliza period tarehe 4 je kuna uwezekano wa kupata mimbaUpo sahihi sana lkn kwa kiasi tumepatia
Uwezekano unaweza kuwepo lkn kwa kiasi kidogoNimefanya trh 18 na aliyemaliza period tarehe 4 je kuna uwezekano wa kupata mimba