Je nitashika ujauzito kweli?

Kama ulitumia kondom, jua mimba ndo ishaingia hivyo. Utakuwa umesevu ukimwi tu lakini mimba iko palepale...

BTW... alikufikisha kileleni? Alikojoa mara ngapi??

Nataka nikusaidie kukalkuleti speed ya sperms ili nijue kama itakuwa mimba ya baamedi mtarajiwa au jambazi ajaye...
 
Utapata vizuri tena naona umelenga kwenye mtoto wa kiume kama Mungu akikujalia.

Lakini na wewe dada una umri gani mpaka usijue siku gani za wewe kuna chances kubwa ya kushika mimba
Siku ya 10 sio mtoto wa kiume labda siku ya 13/14
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom