Je nisipo hudhuria harusi ya rafiki huyu kuna lawama?

Je nisipo hudhuria harusi ya rafiki huyu kuna lawama?

Kazanazo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
5,557
Reaction score
8,190
Ni rafiki wa kushibana kwetu kama kwao na kwao kama kwetu, urafiki wetu ni zaidi ya undugu maana tunasaidiana kuliko hata hao ndugu zetu wanavyo tusaidia

Urafiki wetu ulianza na kukua kwa kasi tukiwa school na kwa bahati nzuri kila tukivuka level moja kwenda nyingine tunajikuta tumepangiwa shule moja yani hadi raha hatujawahi kugombana hata siku moja katika urafiki wetu japo hadi sasa wote ni majobless kwa maana hatujaajiriwa pamoja na kumaliza chuo miaka kama 7 iliyopita

Sasa kasheshe ilianza nilipotaka kuoa (mimi nilioa punde tu baada ya kumaliza chuo) nilikuja gundua kuwa mtu niliotarajia kufunga nae ndoa kumbe rafiki yangu nae alikuwa anamtaka maana alikuwa classmate wetu na alivyojua nataka kufunga nae ndoa ni kama alipunguza urafiki japo hakuonesha hisia zake wazi wazi. Hii inshu niliijua kupitia kwa dada yake na aliyekuwa mchumba wangu na sasa mke wangu alinipa story nzima kwani alikuwa akiambiwa na mdogo wake mambo ya mahusiano yake

Mwanzo nilisita na nikataka kugairi kumuoa huyu mwanamke kwa kuhofia kuwa huenda anaweza kutuchanganya wote wawili au nikamuoa kwa shinikizo la ndoa ila kumbe hanipendi anampenda rafiki yangu ila baadae yeye alinifuata na kuniambia yote na kukiri kuwa moyo wake uko kwangu, sikutilia maanan nikawa busy na mdada mmoja mwingine hivi mpaka pale dada yake alipoamua nae kunifuata na kuniambia kuwa nimuelewe mdogo wake kwani alichokuwa anasema ni kweli

Basi nilifanya maamuzi ya kumuoa na mpaka sasa hivi tunaishi vizuri tu japo changamoto za ndoa hazikosekani, ila toka hivyo rafiki yangu hakuoa na hata kwenye Ile harusi yangu hakuja ila mchango alitoa na muda wote huo mawasiliano yalikuwa kawaida japo sio kama mwanzo maana hata kule kutembeleana sasa hakupo

Sasa kanitaarifu kuwa mwezi wa kwanza anafunga ndoa na amenipa muariko na hata ndugu zake wananitafuta ili niwe kampani katika hiyo harusi ( kwa sisi waislam kuna yule anaemsindikiza bwana harusi kama partner wake). Binafsi napenda niende ila kila nikiwaza ya huko nyuma napata ukakasi na ukizingatia hata ya kwangu hakuja vipi hii namimi nisipoenda kuna lawama?

Kwenu wanajamii
 
Rafiki yako ana akili na busara, sababu ya kutohudhuria ndoa yako inajulikana pia alipunguza ukaribu ili asiharibu ndoa yako.
Pia kama mlikuwa na ukaribu ilikuwaje msiambiane kuhusu mahusiano ya wanawake zenu Hadi unakaribia kufunga ndoa hapo Kuna kitu unaficha.
 
Rafiki yako ana akili na busara, sababu ya kutohudhuria ndoa yako inajulikana pia alipunguza ukaribu ili asiharibu ndoa yako.
Pia kama mlikuwa na ukaribu ilikuwaje msiambiane kuhusu mahusiano ya wanawake zenu Hadi unakaribia kufunga ndoa hapo Kuna kitu unaficha.
Kwa kiasi tulikuwa watu wa Imani hivyo si rahisi kuambiana inshu za wanawake kiufupi hatukuwa wazinifu
 
Wewe ni jobless pamoja na rafiki yako lakini mnakimbilia kuoa hao wanawake mnawalisha nini au u jobless ni nini? Mnatumia nini kufikiri hiyo mihemko itakuja kuwagharimu.
Upwiru mkuu Kitombile huwa haujui kuwa una pesa au huna, una kazi au ni jobless dude likidinda lataka mbususu tu na si kitu kingine tufanyeje sasa
 
Nenda. Kutohudhuria kwake alikuepusha na mengi. Hakutaka kuharibu mahusiano yako alijiweka pembeni kuwapa nafasi mjenge ndoa yenu.
Kuna mengi nayafikiria zaidi ya hii hoja kiufupi nina wivu but why?

Namjua vizuri kwani ni rafik yangu so kwanini miaka yote hiyo asioe untill now?
 
Ni rafiki wa kushibana kwetu kama kwao na kwao kama kwetu, urafiki wetu ni zaidi ya undugu maana tunasaidiana kuliko hata hao ndugu zetu wanavyo tusaidia

Urafiki wetu ulianza na kukua kwa kasi tukiwa school na kwa bahati nzuri kila tukivuka level moja kwenda nyingine tunajikuta tumepangiwa shule moja yani hadi raha hatujawahi kugombana hata siku moja katika urafiki wetu japo hadi sasa wote ni majobless kwa maana hatujaajiriwa pamoja na kumaliza chuo miaka kama 7 iliyopita

Sasa kasheshe ilianza nilipotaka kuoa (mimi nilioa punde tu baada ya kumaliza chuo) nilikuja gundua kuwa mtu niliotarajia kufunga nae ndoa kumbe rafiki yangu nae alikuwa anamtaka maana alikuwa classmate wetu na alivyojua nataka kufunga nae ndoa ni kama alipunguza urafiki japo hakuonesha hisia zake wazi wazi. Hii inshu niliijua kupitia kwa dada yake na aliyekuwa mchumba wangu na sasa mke wangu alinipa story nzima kwani alikuwa akiambiwa na mdogo wake mambo ya mahusiano yake

Mwanzo nilisita na nikataka kugairi kumuoa huyu mwanamke kwa kuhofia kuwa huenda anaweza kutuchanganya wote wawili au nikamuoa kwa shinikizo la ndoa ila kumbe hanipendi anampenda rafiki yangu ila baadae yeye alinifuata na kuniambia yote na kukiri kuwa moyo wake uko kwangu, sikutilia maanan nikawa busy na mdada mmoja mwingine hivi mpaka pale dada yake alipoamua nae kunifuata na kuniambia kuwa nimuelewe mdogo wake kwani alichokuwa anasema ni kweli

Basi nilifanya maamuzi ya kumuoa na mpaka sasa hivi tunaishi vizuri tu japo changamoto za ndoa hazikosekani, ila toka hivyo rafiki yangu hakuoa na hata kwenye Ile harusi yangu hakuja ila mchango alitoa na muda wote huo mawasiliano yalikuwa kawaida japo sio kama mwanzo maana hata kule kutembeleana sasa hakupo

Sasa kanitaarifu kuwa mwezi wa kwanza anafunga ndoa na amenipa muariko na hata ndugu zake wananitafuta ili niwe kampani katika hiyo harusi ( kwa sisi waislam kuna yule anaemsindikiza bwana harusi kama partner wake). Binafsi napenda niende ila kila nikiwaza ya huko nyuma napata ukakasi na ukizingatia hata ya kwangu hakuja vipi hii namimi nisipoenda kuna lawama?

Kwenu wanajamii
Wewe nenda
Kwako hakuja kwa kuwa alikuwa anamtaka demu wako na kwenu hawezi kuja kisa hichohicho.

Jaribu kuvaa viatu vyake
 
Nenda tu kaka ,ila muweke wazi kwakuwa sasa amepata jiko na yeye mueleze kuwa kosa lenu ilikuwa kufichana na sasa muanze mwanzo mpya ya zamani hayana nafasi
Ahsante kwa ushauri, japo mambo za mapenz ni ngumu kushaurika at least huu nimeuelewa ila kichwani mwangu bado nina maswali chungu nzima
 
Wewe nenda
Kwako hakuja kwa kuwa alikuwa anamtaka demu wako na kwenu hawezi kuja kisa hichohicho.

Jaribu kuvaa viatu vyake
Unajuaje yeye ndio anaona kuwa nimemchukulia demu wake? Najaribu kuwaza tu
 
Ni rafiki wa kushibana kwetu kama kwao na kwao kama kwetu, urafiki wetu ni zaidi ya undugu maana tunasaidiana kuliko hata hao ndugu zetu wanavyo tusaidia

Urafiki wetu ulianza na kukua kwa kasi tukiwa school na kwa bahati nzuri kila tukivuka level moja kwenda nyingine tunajikuta tumepangiwa shule moja yani hadi raha hatujawahi kugombana hata siku moja katika urafiki wetu japo hadi sasa wote ni majobless kwa maana hatujaajiriwa pamoja na kumaliza chuo miaka kama 7 iliyopita

Sasa kasheshe ilianza nilipotaka kuoa (mimi nilioa punde tu baada ya kumaliza chuo) nilikuja gundua kuwa mtu niliotarajia kufunga nae ndoa kumbe rafiki yangu nae alikuwa anamtaka maana alikuwa classmate wetu na alivyojua nataka kufunga nae ndoa ni kama alipunguza urafiki japo hakuonesha hisia zake wazi wazi. Hii inshu niliijua kupitia kwa dada yake na aliyekuwa mchumba wangu na sasa mke wangu alinipa story nzima kwani alikuwa akiambiwa na mdogo wake mambo ya mahusiano yake

Mwanzo nilisita na nikataka kugairi kumuoa huyu mwanamke kwa kuhofia kuwa huenda anaweza kutuchanganya wote wawili au nikamuoa kwa shinikizo la ndoa ila kumbe hanipendi anampenda rafiki yangu ila baadae yeye alinifuata na kuniambia yote na kukiri kuwa moyo wake uko kwangu, sikutilia maanan nikawa busy na mdada mmoja mwingine hivi mpaka pale dada yake alipoamua nae kunifuata na kuniambia kuwa nimuelewe mdogo wake kwani alichokuwa anasema ni kweli

Basi nilifanya maamuzi ya kumuoa na mpaka sasa hivi tunaishi vizuri tu japo changamoto za ndoa hazikosekani, ila toka hivyo rafiki yangu hakuoa na hata kwenye Ile harusi yangu hakuja ila mchango alitoa na muda wote huo mawasiliano yalikuwa kawaida japo sio kama mwanzo maana hata kule kutembeleana sasa hakupo

Sasa kanitaarifu kuwa mwezi wa kwanza anafunga ndoa na amenipa muariko na hata ndugu zake wananitafuta ili niwe kampani katika hiyo harusi ( kwa sisi waislam kuna yule anaemsindikiza bwana harusi kama partner wake). Binafsi napenda niende ila kila nikiwaza ya huko nyuma napata ukakasi na ukizingatia hata ya kwangu hakuja vipi hii namimi nisipoenda kuna lawama?

Kwenu wanajamii
Despite of all circumstances we all human and nothing can change that... Listen to your heart...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom