Je, nimekosea kuwapotezea baadhi ya ndugu zangu? Naomba ushauri tafadhali


Very true. Ndugu zangu tumbo moja wanafaidi na wana access na mimi bila matatizo. Ninawanyanyua kadiri navyoweza ila wale wengine wanatafuta sana namna ya kunifikia angalau wafaidi.
 

Nimekupata
 
Msamehe mzee na umtunze,hao wengine ukianza tu kuwasaidia ndo wanaweza kuwa your downfall!binadamu wabaya,tena wanaweza kwenda kwa mganga wakuroge ufilisike,acha mazoea nao kabisa
Akufaaye kwa dhiki ndie rafiki,usisahau hilo

Mzee nimemsamehe ila upande wa pili sitaki mazoea nao
 
Full stop
...ishia hapo hapo...
Ya mzee mwache yawe ya mzee ya watoto acha yawe yawatoto...
Kutokana una uwezo na una kauli Mzee akikaza kuingilia mipaka hiyo mchane live...
Mwambie matendo yaliyotendwa ni Kwa marehem mama Yako...wakamuombe msamaha yeye akikkubali atakutafuta kiroho ..Ila kwa Sasa nafsi haipo saw na unaomba uheshimiwe maamuzi
Hiyo hela amini nakwambia ukiitoa haitasaidia na watarudi Bora uile au ujenge mahusiano na familia Zaid ya upande wa mkeo..na jamaa na marafiki walio karibu nawewe maana hao ndo dhamana Yako kesho..
Ao ndugu zako Wacha wawe ndugu wa majina na salamu Ila kunja mwanzo mwisho..walishindwa muheshimu Mungu wao wa Duniani unadhan wataheshim iyo 5mil




Tatizo Mzee wangu hanielewi. Ila yeye nimemsamehe. Matatizo yake na marehemu mama yangu niliyaweka pembeni. Ninasimamia hali yake ya afya na matunzo ya kila siku
 
Usithubutu kumpa hiyo hela
 

Nashukuru Kwa maoni. Nimeyapokea kwa mikono miwili
 
Kamati ya roho mbaya kazini..... Fikra zako ni sawa na zangu... Mimi ninao ndugu zangu walitunyanyasa familia yetu kisa tulikuwa masikini, tuliteseka na kwamba taabika huku wakila na kunywa kwa mirija na familia zao. Sasa meza imepinduka. Wajomba waliomtenga mama yetu marehemu, sasa wamegeuka kuwa ombaomba. Juzi kuna anko alitaka kunikopa laki tano, ila aliogopa kuni face mojakwamoja akamtumiaa Mamdogo ambaye tunaelewana kuniomba hela. Nilivyogundua nilichomoa. Kila mtu apambane
 


Kwamba kipato chake cha wote lkn walivokua wanacho wao kilikua chao.


Siafikiani ma wewe hata robo. Kutesa ni kwa zamu.
 
Tenda wema nenda zako!
 
Nashukuru Kwa maoni. Nimeyapokea kwa mikono miwili
Na famaham tunakushauri from experience
Nasema haya Kwa kupitia same scenerio Ila Mimi ni ilikuwa dingi mdogo...
Yani mwaka wa tano saiz kimyaaa nimenyuti maisha yanaenda shida iliowafanya waombe msamaha nilisaheme Ila kuitatua nilikaza Sina Hela althogh wanaona lifestyle..ao Wanae waliokuwa vinara wa vijembe alikuja magu akawanyoosha mavyeti feki wakarudi mabench heshma ikarejea ..tunaonana status tu Ila Cha msingi shida haziishi na hawafi bas waendelee kupambana kama nami navopambana
 
Usiache kumkumbusha mzee ile kauli ya nyumba kubwa na ndogo.
Ila iwe kwa wema au utan
 
😂😂ubaya ubaya
 
NDUGU WA KWELI NI WATOTO WAKO!WATUNZE SANA!!!HAO NDUGU WENGINE WEKA KANDO HATA WAKIHITAJI MSAADA ISIZIDI HATA 30000/=!!!LABDA KAMA UMEWAAJIRI WALIPE KUTOKANA NA KAZI!!!USIWAKOPESHE HELA NYINGI KAMA HIZO WAAMBIE HUNA!!MTUNZE BABA KAMA KAWAIDA LAKINI USIMPE MTAJI WALA CHOCHOTE CHA MAANA!!!!MWANAUME ALIEZAA NA MAMA YANGU AKAMDHARAU NA KUMTESA MAMA YANGU NI MBWA KAMA MBWA MWINGINE MKUU! TAMBUA HILO!!!!!
 
Usiache kumkumbusha mzee ile kauli ya nyumba kubwa na ndogo.
Ila iwe kwa wema au utan

Mzee siku hizi kama piriton maana nyumba mimi ndo nilikuja kumjengea wakati mwanaye aliyemsomesha na kupata kazi serikali hakujali.

Siku hizi anatambua kwamba mimi ndo nipo kwa ajili yake. Ila kumkumbusha naona siyo Sawa. Nafanya yangu nasubiri afe tu zake maana umri umeenda
 

Nimepokea ushauri mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…