Kuna siku na mimi nitaanzisha uzi aka thread ya kukaa na njaa baada ya kutojiskia kula mchana halafu nitawauliza ma great thinkers kama nimafanya busara au vp??
Mi kuna mmoja aliniletea jeuri last year akasepa na kunitamkia hatuwezi kuwa pamoja wakati nilipanga awe was maisha nikasema Fresh!!!! Bi mdada isiwe ugomvi hapo ni baada ya 3 good years .
Baaada ya kupiga mwaka mzima nikiwa nimetulia tuli maana nilijua lazima atanitafuta tu atake asitake
Juzi kati si kanitafuta bana anadai kanimiss kweli na analalama kwanini nampotezea kiivyo heheheheheheh!!!
Nimejibu kiustarabu tu ila Niko makini nae sitaki kurudi huko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.