NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,380
Yani kwa ufupi mlikua mmesha chokana kila mtu anasubiria sababu,madhali imesha patikana basi sawa endeleeeni kuka kimnya hivyo hivyo huku ukifanya yako.
Kama kweli kwanini aplan kumpiga na jiwe? kwa nini asingepanga palingi ya live na jibaba goliati? Kama una uwezo wa kupigana na mimi usiweke conditions eti mateke hairuhusiwiSi kweli. Daudi aliplan na kupractice ndio akamshinda goliat
Umebugi meeen, hadi kuja kuanzisha huu uzi hapa umeshamkumbuka na kuanza kujisemesha kwake unaona soo. Yaonekana kama hapa umekuja kupata nguvu ya kujirudi.
Poleee.
Karoho hakakuumi?
Umebugi meeen, hadi kuja kuanzisha huu uzi hapa umeshamkumbuka na kuanza kujisemesha kwake unaona soo. Yaonekana kama hapa umekuja kupata nguvu ya kujirudi.
Poleee.
Mkuu, We have unfinished business. Mitambo imegoma tuvute subiraJuzi nilikua nachati na mpenzi wangu kwa njia ya sms tukawa tunajadiri jambo fulani ambalo hatukupata solution ya moja kwa moja.
Mwenzangu alionekana kwamba hajakubalina na mimi na akaanza kunitupia lawama mwishowe akaandika sms iiyoishia na maneno "Nakutakia maisha mema"
Baada ya kunitumia ujumbe ulioishia na hayo maneno mimi sikujibu kitu nikapiga tu kimya kwa maana nimeshakubali matokeo hivyo sikuona sababu ya kumjibu ukizingatia kwamba tayari nilishapata mbadala wake bila ya yeye kujua baada ya kuona ananisumbua sana.
Je kukaa kimya bila kumjibu chochote nimefanya busara au nimekosea ?
Karibuni wataalam wa mambo ya mahusiano tupeane ushauri
Ok sawa.Mkuu, We have unfinished business. Mitambo imegoma tuvute subira
Hahahaahaa.. huyu ni mimi sasa. Sema nashukuru ninaowatingishiaga kiberitiki vinakuaha havijajaa wanarudi.Wakati nwingine wanawake huwa huwa wanawasha moto kwenye kichaka kilichoungana na msitu ili wajue huo moto utaishia wapi.? KAA KIMYA BAADA YA MDA ATAKUJA AKIWA AMEPIGA MAGOTI.
SMS TO ALL GIRLS/WOMEN
Kamwe usianzishe vita ambayo hutoweza kuipigana.Daudi alibahatisha tu kwa GOLIATI
Uuaji huoHuo ndio uanaume wenyewe sasa.
Sio mwanaume unakua unalialia na kubembeleza watoto wa kike..
Dem akikwambia "mimi na wewe basi" wewe usimjibu chakufanya mblock whatsapp ,facebook,insta,txt za kawaida ,mpesa ,tigopesa, hadi NMB hapo unakuwa umetunza hadhi ya KIUME..
ukiendelea hivyo hivyo ntakupa ujumbe wa kamati kuu kwenye chama la kiumeni
Wakati mwingine mtu anamaanisha muachane kweli. Ukikaa kimya ujue na yeye anakaa kimya mazimaHaahaha aki beep anapigiwa direct. Sipendag wanawake wenye kutishia au kutest . Ni mambo ya kitoto sana.. mm ikiwa givyo na red card inafuata. Sinaga muda mchafu
Wakati mwingine mtu anamaanisha muachane kweli. Ukikaa kimya ujue na yeye anakaa kimya mazima