Zero Competition
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 310
- 451
Juzi nilikua nachati na mpenzi wangu kwa njia ya sms tukawa tunajadiri jambo fulani ambalo hatukupata solution ya moja kwa moja.
Mwenzangu alionekana kwamba hajakubalina na mimi na akaanza kunitupia lawama mwishowe akaandika sms iiyoishia na maneno "Nakutakia maisha mema"
Baada ya kunitumia ujumbe ulioishia na hayo maneno mimi sikujibu kitu nikapiga tu kimya kwa maana nimeshakubali matokeo hivyo sikuona sababu ya kumjibu ukizingatia kwamba tayari nilishapata mbadala wake bila ya yeye kujua baada ya kuona ananisumbua sana.
Je kukaa kimya bila kumjibu chochote nimefanya busara au nimekosea ?
Karibuni wataalam wa mambo ya mahusiano tupeane ushauri
Mwenzangu alionekana kwamba hajakubalina na mimi na akaanza kunitupia lawama mwishowe akaandika sms iiyoishia na maneno "Nakutakia maisha mema"
Baada ya kunitumia ujumbe ulioishia na hayo maneno mimi sikujibu kitu nikapiga tu kimya kwa maana nimeshakubali matokeo hivyo sikuona sababu ya kumjibu ukizingatia kwamba tayari nilishapata mbadala wake bila ya yeye kujua baada ya kuona ananisumbua sana.
Je kukaa kimya bila kumjibu chochote nimefanya busara au nimekosea ?
Karibuni wataalam wa mambo ya mahusiano tupeane ushauri