Je, nimefanya busara kutomjibu sms yake au nimebugi ?

Zero Competition

JF-Expert Member
Sep 12, 2018
310
451
Juzi nilikua nachati na mpenzi wangu kwa njia ya sms tukawa tunajadiri jambo fulani ambalo hatukupata solution ya moja kwa moja.

Mwenzangu alionekana kwamba hajakubalina na mimi na akaanza kunitupia lawama mwishowe akaandika sms iiyoishia na maneno "Nakutakia maisha mema"

Baada ya kunitumia ujumbe ulioishia na hayo maneno mimi sikujibu kitu nikapiga tu kimya kwa maana nimeshakubali matokeo hivyo sikuona sababu ya kumjibu ukizingatia kwamba tayari nilishapata mbadala wake bila ya yeye kujua baada ya kuona ananisumbua sana.

Je kukaa kimya bila kumjibu chochote nimefanya busara au nimekosea ?

Karibuni wataalam wa mambo ya mahusiano tupeane ushauri
 
Wakati nwingine wanawake huwa huwa wanawasha moto kwenye kichaka kilichoungana na msitu ili wajue huo moto utaishia wapi.? KAA KIMYA BAADA YA MDA ATAKUJA AKIWA AMEPIGA MAGOTI.
SMS TO ALL GIRLS/WOMEN
Kamwe usianzishe vita ambayo hutoweza kuipigana.Daudi alibahatisha tu kwa GOLIATI
 
Huo ndio uanaume wenyewe sasa.
Sio mwanaume unakua unalialia na kubembeleza watoto wa kike..
Dem akikwambia "mimi na wewe basi" wewe usimjibu chakufanya mblock whatsapp ,facebook,insta,txt za kawaida ,mpesa ,tigopesa, hadi NMB hapo unakuwa umetunza hadhi ya KIUME..

ukiendelea hivyo hivyo ntakupa ujumbe wa kamati kuu kwenye chama la kiumeni
 
Mwenyekiti mpatie kadi ya uanachama cha wanaume. Naona kijanaa amefaulu mtihani
Huo ndio uanaume wenyewe sasa.
Sio mwanaume unakua unalialia na kubembeleza watoto wa kike..
Dem akikwambia "mimi na wewe basi" wewe usimjibu chakufanya mblock whatsapp ,facebook,insta,txt za kawaida ,mpesa ,tigopesa, hadi NMB hapo unakuwa umetunza hadhi ya KIUME..

ukiendelea hivyo hivyo ntakupa ujumbe wa kamati kuu kwenye chama la kiumeni
 
Juzi nilikua nachati na mpenzi wangu kwa njia ya sms tukawa tunajadiri jambo fulani ambalo hatukupata solution ya moja kwa moja.

Mwenzangu alionekana kwamba hajakubalina na mimi na akaanza kunitupia lawama mwishowe akaandika sms iiyoishia na maneno "Nakutakia maisha mema"

Baada ya kunitumia ujumbe ulioishia na hayo maneno mimi sikujibu kitu nikapiga tu kimya kwa maana nimeshakubali matokeo hivyo sikuona sababu ya kumjibu ukizingatia kwamba tayari nilishapata mbadala wake bila ya yeye kujua baada ya kuona ananisumbua sana.

Je kukaa kimya bila kumjibu chochote nimefanya busara au nimekosea ?

Karibuni wataalam wa mambo ya mahusiano tupeane ushauri
Raha ya kukaa kimya, siku ukimuhitaji unamkumbushia kama hamkuachana vile

A best technique to get away from a nuisance girlfriend, and a good thing about it, is u can always go back
 
Huo ndio uanaume wenyewe sasa.
Sio mwanaume unakua unalialia na kubembeleza watoto wa kike..
Dem akikwambia "mimi na wewe basi" wewe usimjibu chakufanya mblock whatsapp ,facebook,insta,txt za kawaida ,mpesa ,tigopesa, hadi NMB hapo unakuwa umetunza hadhi ya KIUME..

ukiendelea hivyo hivyo ntakupa ujumbe wa kamati kuu kwenye chama la kiumeni

Duuh mkuu inaelekea unapenda kuachana na mtu ki-beef
 
Wakati nwingine wanawake huwa huwa wanawasha moto kwenye kichaka kilichoungana na msitu ili wajue huo moto utaishia wapi.? KAA KIMYA BAADA YA MDA ATAKUJA AKIWA AMEPIGA MAGOTI.
SMS TO ALL GIRLS/WOMEN
Kamwe usianzishe vita ambayo hutoweza kuipigana.Daudi alibahatisha tu kwa GOLIATI
Si kweli. Daudi aliplan na kupractice ndio akamshinda goliat
 
Juzi nilikua nachati na mpenzi wangu kwa njia ya sms tukawa tunajadiri jambo fulani ambalo hatukupata solution ya moja kwa moja.

Mwenzangu alionekana kwamba hajakubalina na mimi na akaanza kunitupia lawama mwishowe akaandika sms iiyoishia na maneno "Nakutakia maisha mema"

Baada ya kunitumia ujumbe ulioishia na hayo maneno mimi sikujibu kitu nikapiga tu kimya kwa maana nimeshakubali matokeo hivyo sikuona sababu ya kumjibu ukizingatia kwamba tayari nilishapata mbadala wake bila ya yeye kujua baada ya kuona ananisumbua sana.

Je kukaa kimya bila kumjibu chochote nimefanya busara au nimekosea ?

Karibuni wataalam wa mambo ya mahusiano tupeane ushauri
mmmmh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom