Je, nifanye Kilimo au biashara kwa mtaji chini ya milioni 1?

amate

Senior Member
Feb 23, 2017
157
377
Habari ndugu jamaa na marafi kutoka JF.

Nimejaribu kuwaza kwa sauti hapa, mtu akiwa na mtaji chini ya million moja na yuko mji midogo (Halmashauri) hana shamba.

Je, shughuli gani kati ya (kilimo cha mahindi, maharage, etc) na Biashara (ndogo-ndogo) kinaweza kumusaidia kwa haraka kupata hela ya kujikimu?

Tafadhari naomba kama una experience yeyote kuhusu hayo mambo toa ili tuweze kusaidiana.
 
FANYA biashara.... Ukipata mitumba grade A hapo Geita na ukapata chimbo zuri utauza kinyama yani....
 
Hakuna mtaji mdogo unajua kila pesa inaleta faida kubwa kama ukiituma kuleta pesa nyenzake hapo fanya hiv kwa mtaji huohuo wa mil 1 utaletaaa kiasi cha laki sita had Saba kwa wiki....













Ahahahahahaahahahahaha labda uuzeee ngadaaaaa 😋😋
 
Kwa hiyo kwako chanzo Cha maji Geita ni Ziwa tu.... !!? Geita yote IPO ndani ya Ziwa kwamba wote wanagusa maji!!?....
No, si kwamba Geita yote imegusa ziwa...
Nmeuliza ili unieleweshwe ulichokuwa unamanisha mkuu.
 
Hakuna mtaji mdogo unajua kila pesa inaleta faida kubwa kama ukiituma kuleta pesa nyenzake hapo fanya hiv kwa mtaji huohuo wa mil 1 utaletaaa kiasi cha laki sita had Saba kwa wiki....













Ahahahahahaahahahahaha labda uuzeee ngadaaaaa
 
No, si kwamba Geita yote imegusa ziwa...
Nmeuliza ili unieleweshwe ulichokuwa unamanisha mkuu.
Sio Mimi niliyeuliza hivyo...Mi nimeuliza kutokana na jibu lako... Ila vyanzo ni vingi Kuna mito, visima vidivyokauka, chemchem za asili zisizokauka, visima virefu vya kuchimba ....
 
Back
Top Bottom