Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Nimemsaidia ameokoa nauli...atafute sehemu akapige makange na bia zake kumi swafii kabisa hayo mawazo ya uasherati yatamtoka
Nimemsaidia ameokoa nauli...atafute sehemu akapige makange na bia zake kumi swafii kabisa hayo mawazo ya uasherati yatamtoka
SawaNimemsaidia ameokoa nauli...atafute sehemu akapige makange na bia zake kumi swafii kabisa hayo mawazo ya uasherati yatamtoka
haina nouma bablai.Chaliang ukidondoka iyo dei nicheck masta ili nikupeleke huko fyade kwa xhemenga
Sent using Jamii Forums mobile app
dah na mamiloo itakuwaje sasa.Nimemsaidia ameokoa nauli...atafute sehemu akapige makange na bia zake kumi swafii kabisa hayo mawazo ya uasherati yatamtoka
Mzee kwamba mmeshindwa kufikia makubaliano kwenye hilo dogo tu, je makubwa ya kwenye hayo mahusiano yenu mtayaweza?kuna msichana nampenda sana japo tumepotezana kama miaka miwili yeye yupo arusha mimi nipo dar. sasa nikimcheki aje dar anadai mimi niende arusha. ila naona akija dar ndo nakuwa confortable kwan nakuwa kwangu kuliko kwenda arusha. ushaur4 wenu wandugu.
kweli kabisa mkuuNaona kama mkutane Tanga tu ..kila mtu asiwe kwake View attachment 1379551
Sent using Jamii Forums mobile app
au ndo mtoto hanielewi?Mzee kwamba mmeshindwa kufikia makubaliano kwenye hilo dogo tu, je makubwa ya kwenye hayo mahusiano yenu mtayaweza?
Liangalie hilo kwa jicho la pili.au ndo mtoto hanielewi?
sawa kabisaMkutane Tanga
aisee sawaLiangalie hilo kwa jicho la pili.
Mkutane korogwe pale maana ni nusu kwa nususawa kabisa
poa poa mkuuMkutane korogwe pale maana ni nusu kwa nusu
hii ni hatari.Mpo wangapi kwenye hayo mahusiano? Watatu au wanne maana kama mwanamke anashindwa kukufuata huenda una mme mwenzio au anahofia kupoteza kazi