Breki ya Kenge
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 715
- 1,006
nmekuelewa sana
ni mtata hatoi tigo yule.Aje dar ila hakikisha unalamba tigo yake
wapi nmeandika uzinziYaani unataka tukushauri pa kwenda kutendea dhambi ya uzinzi?? Kijana oa uweke kitu yako karibu na wewe ili ukiihitaji usisafiri. Corona ipo na safari sio nzuri saana. Mtu awe na kisima chake cha maji mwenyewe au vp??
je niende arusha au aje dar?
ahah poa poa
Unatufanya sote mazuzu?? Yaani usafiri toka darisalama hadi Ar kwenda kumwangalia uso tu na kurudi?? Au unatamani ashuke darisalama uje kumwangalia akiwa pale ubungo terminal arudi??wapi nmeandika uzinzi
kweli kabisa.Mwambie afate mpini
acha uogaMkuu watakufukua mtaro wale machalii hawanaga utani kwa waschana wao. Ukikuta na mshua unakula paja la kuku we jipeleke tu
Sent using Jamii Forums mobile app
pamoja mkuu.Unatufanya sote mazuzu?? Yaani usafiri toka darisalama hadi Ar kwenda kumwangalia uso tu na kurudi?? Au unatamani ashuke darisalama uje kumwangalia akiwa pale ubungo terminal arudi??
Kubali tu yaisha, mzinzi mkubwa weeee
ina apply kwa binadam?mkuu kwamfano una ng'ombe jike unataka kumpandisha Je! dume hua anapelekwa alipo jike au jike hua analetwa alipo dume!?
kabisa
kweli kabisa