Je, Ni wanaume wote wapo hivi?

Je, Ni wanaume wote wapo hivi?

Status
Not open for further replies.
Girls wengi hamjitambui na mnachanganya mambo, tatizo lako ni wewe mwenyewe pale ulipomwambia kama hataki kuvumilia basi hatafute mwingine, pale ndio ulimpa kibali na ulimfanyaa aamini penzi lenu halina uhakika na chochote kinaweza tokea and you don't care..

Hamjui kitu mnachotaka coz mna amin eti mtu asipokupigia simu ndio hakupendi, mnasahau kipindi mna shida au matatizo mko tayari kusaidiwa na kushare changamoto hizo, mie my ex alikuwa anatatizo kubwa la kulaumu na kuona eti simpendi pale ninapokuwa bize na kushindwa kumpigia simu uku anasahau % kubwa ya problems zake mie ndio nazisolve kwa uo ubize wangu na sasa hivi tumeachana but still ananitegemea kila kitu.

The problem is Women don't known what they need na Men don't know what they have until they lost..
 

...kuna siku nikachukua simu ya sister ili nidownload apparatus katika simu yake ...

@kelly G, ni simu gani unatumia kudownload apparatus na mimi ni download niwe najikumbushia titration aisee!!!
 
sio wote ni baadhi. hao wa aina hiyo ni malimbuken wa mapenz, ndio kwanza anachipukia kwenye hii sekta....
we achana nae... kata kitabu ujenge maisha yako. kama ni mwanaume.. yupo ambaye umepangiwa na Mungu.
 
Narudia tena '' TATIZO KILA MTU ANATAKA KUPENDWA''
 
Tatizo lenu mnapendaga vi bibraza men na vibishoo, watu wenye nia nzuri na nyie wanakujaga ila mnajiona keki, mnawaringia utendwe tu, nasema utendwe tu maana tumechoka...

Duu hii mkuu ipo correct tena unakuta upo wala hata umuomb sex kwa kumuheshim lakn anakuona falaa
 
duh! Pole sana dada yngu.Sio wanaume wote wako hivyo.
 
Huyo wa kwako ni mvulana.
Waambie mods wakubadilishie title
 
Anakufanya we uwanja wa mazoezi, nawe umekubali...pole

Mwache ajilipue tu. Wenyewe wanaita mahaba niue loh!!!!

Maisha yakumbembeleza mtu kama Mungu Arghaaa!!!! Badala mwaume ambembeleze yey, yeye ndio analilia hapa khaa!!.
 
Tatizo umekutana na mvulana wanaume hawako hivyo, halafu usijiwekee mawazo eti huyo aliyekutoa bikra basi ndio huyo huyo atakuwa mmeo.
 
Answer:
hapana, wanaume hawapo hivyo. Lakin wavulana wengi wapo hivyo.... Ila pia kumbuka, tofauti ya mvulana na mwanaume sio umri. Tulia tu, af utampata 'mwanaume', and no one wil tell you that, this is Him. You wil just know it. Kwa sasa tengeneza other 'departments' za your life.
 
Mmmmmmhhhhhh....! Got no comment koz naamin sio kila smartphone ina front camera dat means we MEN tupo different hatupo same bhaana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom