Je, Ni wanaume wote wapo hivi?

Je, Ni wanaume wote wapo hivi?

Status
Not open for further replies.
We mwanamke mshamba wa mapenzi mpaka elimu yako haikusaid je hata picha huoni?achana naye tena kakudharau wewe na mamako
 
Babygal, only 1 frog and you're complaining? Kiss some more FROGS before you kiss that MR. RIGHT. So, the faster you are, the nearer he is.

Nway, it's said, w neither kno wat w av untl it w let it go
nor do w kno wat w av bn msng untl it arrives.
 
Pole sana. story yako inaendana na yangu ila mimi ni me.kuna msichana alikuwa ananifanyia dharau kama boy wako ila mimi alizidisha dharau mwisho wa siku mie nikaona isiwe tabu nisije nikafa kwa presha bure nikachukua mamuzi magumu kama mh.... nimeamua kuconcentrate kwenye masomo tu huku mungu akiniandalia mke mwema mwenye kujua thaman ya mwanaume ....... we kazania masmo kwanza huku ukimuomba mungu akuandalie mwanaume mwenye upendo wa kweli huyo siyo nyota yako mkuu utakufa bure na msongo wa mawazo.

Sijajua watu wanawazaga nini... Mtu hafikirii mbele hajui Kuna maisha mbele zaidi... Mie huwa naamini unachomtendea mwenzio Leo kibaya... Malipo yake ni Mara Tatu zaidi ya uliyemtenda.... Ngoja sa hvi wajibaraguze tu ipo siku
 
we mtoto au limbukeni wa mapenzi soma acha huo upuuzi utapata ngoma
 
Aisee hiki kiswala kimeingia kwenye msitu wa simba....huku ulipokuja sipo utamezwa mzima mzima alaf sijui utaandika nn :screwy:
Kazana na shule mdada mapenzi yapo tu isitoshe we akili yako haijakomaa kwa haya mambo ya kikubwa ndy maana unaona dizine watu wana diss
 
Hahahah dada yangu poleee tatizo umependa sehemu usiyopendwa na bado unaganda

Hili ni kosa kubwa yaani unaona kabisa mtu mbabaishaj lakin still unakubali akutoe usichana wako
Ujinga huu
Tuliza kichwa piga kitabu
Kuwa na msimamo
 
duh kwa hiyo unasema mama yako aliongea na huyo kijana? mbona maandishi yanaonekana bado mdogo tu? kweli kizazi hiki kinaangamia, badala mama akuhimize usome kwa bidii yeye ndio anatia chumvi kwenye mapenzi yenu. huwa mnatumia kinga kweli?

Huyo mama hamnazo
 
Pole mdogo wangu, ndo unakuwa sasa, naona unaweza kuona tofauti kati ya wanaume na wavulana. Let it make you strong and move on.!!
 
Tatizo ccm ndio imetufikisha hapa. Kila kijana amegeukia mapenzi .
 
Mwanaume yoyote ambaye ni limbukeni wa mapenzi akishagundua unampenda atakusumbua sana. Huyo ameshagundua kama unampenda na kashakuona huna ujanja.mapenzi kama hayo ukimwonyesha mtu anayejitambua hawezi kukuacha katika mstari kama huo. Wewe ni kama mtu aliye ndani ya box, hujui nje ya box kuna nini? Ila siku utakapochungulia nje na kuona mazuri ya huko hutatamani kubaki ndani ya box.
 
Dah hiv shuke hazijafunguliwa tu?? Jitu zima linawaza ngono ,tulia uolewe acha zinaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom