Rutorial k
JF-Expert Member
- Jun 8, 2014
- 1,060
- 1,041
ikumbukwe kuwa kulikuwa na mpango wa walimu wa astashahada(certificate) kuhakikisha wanajiendeleza na kuwa na stashahada...sasa jana nikiwa ofisini ktk chuo kimoja cha ualimu mkuu akanidokeza kuwa wamepata barua inayowataka waanze kutoa certificate
pia alisema vyuo vya ualimu visiwe chini ya NACTE bali viwe chini ya NECTA kama ilivyokuwa awali.
mkuu alidokeza kuwa wale ambao tayali walianza kusoma dip in primary waendelee ila kwa mwaka huu irudi certificate.
swali langu je kuna athali zozote katika mabadiliko haya?
pia alisema vyuo vya ualimu visiwe chini ya NACTE bali viwe chini ya NECTA kama ilivyokuwa awali.
mkuu alidokeza kuwa wale ambao tayali walianza kusoma dip in primary waendelee ila kwa mwaka huu irudi certificate.
swali langu je kuna athali zozote katika mabadiliko haya?