Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 309
Habari zenu wana JF popote pale mlipo,ni matumaini yangu Mungu wetu mwema anawapigania daily,
Wapendwa naomba msaada wa mawazo yenu kwa wale mliokuwa tayaru mmeoa/olewa na wale walio bado pia wanaweza kutoa michango yao hata kujifunza pia,swali ni;
-Je ni sawa kumsaidia mwenzi wako katika maandalizi ya harusi yenu?mfano
Naomba michango yenu ya mawazo.
Wapendwa naomba msaada wa mawazo yenu kwa wale mliokuwa tayaru mmeoa/olewa na wale walio bado pia wanaweza kutoa michango yao hata kujifunza pia,swali ni;
-Je ni sawa kumsaidia mwenzi wako katika maandalizi ya harusi yenu?mfano
- Mahali not less zan laki 5..............
- Gharama ya nguo cheapest ni laki nane gauni la bibi harusi,bado viatu,hereni,na vitu vidodovidogo,Bado saloon (bibi harusi,matron,wasimamizi) =1M...........
- Pete(uchumba,ndoa 2) =laki 600............
- ukumbi(pesa zinatoka ktk kamati but ili upate kumbi mapema ni vyema ukatoa hela yako kwanza zen vikao vikianza unarudishiwa)
Naomba michango yenu ya mawazo.