Je ni sahihi waziri yeyote kuikosoa serikali iliyoko madarakani

Acha Sitta na Mwakyembe waendelee na kutoa maoni yao anywhere tu maana ukitaka sana kufata proper channels mambo hayataeleweka sababu yatachujwa. Lkn ni vema wasiongee tu ili kupata popularity inabidi tupate evidence kuwa wanayaongea pia kwenye baraza lao la mawaziri hasa kwa rais mwenyewe maana hicho ndicho kikao kikuu cha maamuzi serikalini.
 
Nakubaliana nawe pMakisoke. Actually these guys wanataka kuonekana wapinnzani all the time lakini hawataki kutoka CCM au serikalini ni kitu cha ajabu kwamba hawaachii ngazi au kujitoa CCM. Yes it is unethical big time.
CCM siyo tatazo, wanaoongoza ndio wenye matatizo, ni vizuri 6 na wengine wakaendeleza mapambano ndani kwa ndani, kwani ukitaka umshinde adui wewe m'join' huku unapanga mbinu za kummaliza. We hujiulizi kwa nini intracellular parasite and pathogens are extremly difficult to cure? Na kwa yeye, namuona kama ni intranuclear pathogen kwa mafisadi wa ccm!
 
Tumeshuhudia kama mara mbili tatu hivi baadhi ya mawaziri wakiikosoa serikali hadharani au kupitia media. Tuliona katika sakata la Dowans jinsi ambavyo Mh Mwakyembe na Sitta walivyotoa opinions zao openly. Na leo tena Mh Sitta amenukuliwa aki critisize mfumo wa elimu kuwa ndio unazaa mafisadi. Nakubaliana na hii hoja lakini pia nakubaliana na sakata la Dowans.

Je nataka kujua kama media is an ideal platform for a minister to critize the goverment regardless if the criticism is constructive or not taking into consideration that he/she is the membel of the same panel.

Apart from collective responsibility, I thought ministers have the right platform chaired by the President and thought this would be the platform where they could throw their stones, crying, singing hymns, bump and dance.

Lakini pia sitaki kuamini kuwa mimi najua kuliko wao kwamba wapi wanatakiwa kutoa lawama zao, je wanafanya kwa lengo gani? Do they mean to impress Tanzanians?

I am admiring Sitta and Mwakyembe but I think they should follow the proper channel when politicking.

Thanks - Blue Balaa
are you living in Tz Sir? do you know the system we are on. I think that was his personal views, they are not allowed to disclose anything that was discussed in the cabinet, for anything that has not yet been discussed they are still citizen can talk.
 
Tumeshuhudia kama mara mbili tatu hivi baadhi ya mawaziri wakiikosoa serikali hadharani au kupitia media. Tuliona katika sakata la Dowans jinsi ambavyo Mh Mwakyembe na Sitta walivyotoa opinions zao openly. Na leo tena Mh Sitta amenukuliwa aki critisize mfumo wa elimu kuwa ndio unazaa mafisadi. Nakubaliana na hii hoja lakini pia nakubaliana na sakata la Dowans.

Je nataka kujua kama media is an ideal platform for a minister to critize the goverment regardless if the criticism is constructive or not taking into consideration that he/she is the membel of the same panel.

Apart from collective responsibility, I thought ministers have the right platform chaired by the President and thought this would be the platform where they could throw their stones, crying, singing hymns, bump and dance.

Lakini pia sitaki kuamini kuwa mimi najua kuliko wao kwamba wapi wanatakiwa kutoa lawama zao, je wanafanya kwa lengo gani? Do they mean to impress Tanzanians?

I am admiring Sitta and Mwakyembe but I think they should follow the proper channel when politicking.

Thanks - Blue Balaa

NI SAHIHI, copy that!
 
Kiukwel wapo wachache lkn wengi wa mawazir hawajajitambua kwa nn wapo kwenye cabinet.. Zaid ya kuunga mkono hoja ya mrembo., hatutofika...
 
Nashindwa kuelewa michango mingine! Mnamwambia mzee 6 atoke ccm ndo aikosoe sio? Hapana mi naona aendelee kuwemo,apate details,akae aikosoe govt,and from that we go. Ndugu,kama mti una matawi mazuri na mabaya/vpandikizi,je ni vyema ukamshauri mwenye mti aukimbie,au aungoe? Na je ukimpa mtu kazi ya kukata mapandikizi akae juu ya mti ili akate matawi mabaya,au ashuke ndo aanze kukata majani! Je ataweza kushuka alaf ayafikie majani juu ya mti? Lets think widely,kama 6 anaweza akakaa juu akakata mapandikizi na akae afanye kazi iyo,kama anaamua kushuka chini na kufanya kazi iyo,aamue mwenyewe. Ila mwishowe uwa simuamini 6, kama aliweza kusema wakati wa kampen kuwa hatuwezi na hatuna uwezo wa kuwapa watanzania elimu bure akimpinga dr.slaa,iweje leo aruke na kusema tumeitupa elimu? Jk,6 na wasira,makamba,na wenzie,hawana adhi ya kutetea elimu tz,wawache unafiki,walishatueleza elimu ya bure au kwa lugha laini,elimu tz itakuwa ndoto!
 
are you living in Tz Sir? do you know the system we are on. I think that was his personal views, they are not allowed to disclose anything that was discussed in the cabinet, for anything that has not yet been discussed they are still citizen can talk.

You have talked something!!!
 
Issue ni kwamba iwapo mtu una ethics - jee utakubali kuendelea kuwa waziri katika serikali unayoamini haina ethics? Si uachie ngazi ili uikosoe vema hiyo serikali?

Only 2 options - You join them or leave them
 
Tumeshuhudia kama mara mbili tatu hivi baadhi ya mawaziri wakiikosoa serikali hadharani au kupitia media. Tuliona katika sakata la Dowans jinsi ambavyo Mh Mwakyembe na Sitta walivyotoa opinions zao openly. Na leo tena Mh Sitta amenukuliwa aki critisize mfumo wa elimu kuwa ndio unazaa mafisadi. Nakubaliana na hii hoja lakini pia nakubaliana na sakata la Dowans.

Je nataka kujua kama media is an ideal platform for a minister to critize the goverment regardless if the criticism is constructive or not taking into consideration that he/she is the membel of the same panel.

Apart from collective responsibility, I thought ministers have the right platform chaired by the President and thought this would be the platform where they could throw their stones, crying, singing hymns, bump and dance.

Lakini pia sitaki kuamini kuwa mimi najua kuliko wao kwamba wapi wanatakiwa kutoa lawama zao, je wanafanya kwa lengo gani? Do they mean to impress Tanzanians?

I am admiring Sitta and Mwakyembe but I think they should follow the proper channel when politicking.

Thanks - Blue Balaa

Sidhani kama Sitta ameikosoa serikali, kusema kuwa mfumo wa elimu ndiyo unazalisha watendaji mafisadi ina maana pana sana, kuanzia kwa taasisi za elimu mpaka wizara inayohusika na kusimamia elimu.

Kuna tofauti gani kati ya kauli ya Sitta na ya Boss wake JK aliyoitoa kwa kusema kuwa "Wataalam wetu hawana uwezo wa kuchambua mikataba ya kimataifa ndiyo sababu inakuwa mibovu?" au anapopita kusema nchi yetu inahitaji misaada?
 
Sioni tatizo lolote kwa kiongozi wa level yoyote kutoa 'constructive criticism' kama alivyofanya Sitta. Yeye anaonesha wapi kuna tatizo ili wahusika waweze kulitatua. Bila shaka tumezoea kusikia maneno ya kinafiki ya viongozi wetu ambao hupenda kuonesha kila kitu kiko shwari wakati tunaangamia. Kilichoifikisha nchi kwenye matatizo mengi ni unafiki wa viongozi na kutotaka kuelezana ukweli pale tunapopotoka. Hii sio approach nzuri ya maendeleo. Nadhani tulilemazwa na ule upuuzi wa 'Zidumu Fikra Sahihi za Mwenyekiti wa CCM' na ile 'Mwenzetu Syndrome' ambapo waovu walikuwa wakichekewa tu kwa sababu eti 'huyu ni mwenzetu'. Lazima tuondoke huko. Akina Sitta ndio aina ya viongozi tunaowahitaji.
 
Back
Top Bottom