Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,603
- 52,312
mzalendo na masuala ya kimataifa, hata ofisi zina taratibu zake, huyu mwenzio na ile clip anayokatikiwa mkononi kweli ni wakujibu vitu nyeti
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanahabari Huru, Kwanza naunga mkono hoja.
Nchi yako inapochafuliwa na mabeberu ni jukumu la wazalendo kuitetea nchi yako.
Huo ndio uzalendo
Hakuijibia serikali, amejibu kama mwananchi Mzalendo.
P
Sent using Jamii Forums mobile app