Je, ni sahihi mpenzi wako kufahamu kipato chako unachokipata?

una mana gani? Ajulishwe au la! Be specific.

Mkuu maana ya ndoa ni kwamba mmekuwa mwili mmoja sasa kuna ishu gani mkeo akijua mshahara wako? Unless kama ni kimada, sasa budget mnapangaje in the first place kama income haijulikani? Au ndiyo yale yale baba ndiyo mwisho. Mleta mada nakushauri from my own experince mwambie mwenzi wako mshahara wako na si tu kumwambia mwonyeshe salary slip, mpe access ya hizo funds panga budget pamoja tena ya mwaka mzima. It makes life so easy!!!!!!!!!!
 
Mwambie!!! huyu mwanamke inaonekana mmbabe sana, hatumii oblangata

hahahaa,
mim sio mbabe na ubongo wangu nautumia hadi Mungu anasema ktk ubongoz alizoziumba wangu ndio unatumika kisawasawa.
kwa mawazo uliyo nayo nadhani huna unachomiliki zaidi ya mabegi ya nguo hivyo wewe ningekufukuza kirahisi sana maana ni kutupa tu hivyo vibegi vyako kisha nafunga geti nakusahau kama kuna kilichotokea.:A S 103::A S 103:
 
Nionavyo mimi, ni vizuri kujulishana kipato, si mwanaume tu kumjulisha mwanamke kipato chake bali hata mwanamke kumjulisha mumewe kipato chake.

Hii itasaidia kuondoa lawama zisizo za lazima, mara nyingi iwapo mke hajui kipato cha mumewe matumizi yake yanakuwa hayana mpangilio. Atatumia kadiri atakavyoona inafaa yeye mwenyewe, pale zitakapokwisha atamrudia mumewe na kumwomba nyingine, hapo ndipo ugomvi unapoanza. Lakini mume angeweka kila kitu wazi, kwamba hiki ndicho kipato [mfano] cha mwezi husika, mke atakuwa mwangalifu kwa sababu atakuwa anajua kuwa zikiisha hizo hakuna nyingine.

Unapomficha kipato chako, hawi na uhakika na pia anapokudai baada ya kumaliza zile ulizompa unakuwa unaleta ukali, eti anatumia vibaya pesa, ulimwambia kipato chako halisi kwa mwezi husika?
 
old skul.
ndo nyinyi ata miradi unamficha mkeo ukifa watu wanawadhumu
mchek mkeo uelewa wake na displine ya pesa ...km anajua kupangilia na hana matumizi ya ovyo y nt umfiche?
sasa utamwambia nan?
asi ajue ili mjue mtapangaje plan za maendeleo...au ndo nyinyi ela ya matumizi unampa getin wakat unatoka unachomoa ki sh 5000 unampa unasepa na kesho pia.....


MSOME MKEO ..KM MWELEWA MWAMBIE USIMFICHE
LAKIN KM NI WALE WA SALOON,MARIEDO,PEDICURE,MANICURE KILA SIKU ...ahh apo nakushauri usimwambie.



km ambavyo wanaume wengne sio wakuambiwa kila kitu.

nawasilisha.
Rose hapo kwenye red kwani ni lazima umwambie mtu kuhusu mshahara wako???!!!
 
Mimi nilikuwa najiulliza nilipokuwa bado sijafikili kufanya mahusiano. Kuwa nikifikia wakati wa utu uzima nifanye lipi (niweke wazi mshahara wote kwa mke au nimfiche )
wakuu toweni mawazo yenu kuhusi hili jambo ..

Pamoja na hayo Avatar yako Kali sana
 
nakushangaa sana unaposema eti utamfukuza asipokujulisha mshahara wake
1. Umemuoa au kakuoa (labda umlishe libwata)
2. We mshahara wako unamkabidhi? Au ndo goalkeeper?
3. Mshahara wangu ni siri yangu, we unakula, unavaa, maisha ya amani sa unataka ujue hadi mshahara wangu inakuhusu nini?
4. We ni mwanamke, ukisoma bible Efeso, bible inasema wanawake muwatii waume zenu, co kuwaingilia hadi mipango yao.
5. Usiwe mmbabe ndani ya nyumba, we ni ua, na mumeo ni kichwa! Usitake kumtawala kihivyo.[/QUOTE]




crap.

kujua mshahara wake ndo kumuingilia mipango yake?

na km ni mipango ya maendeleo y usimjulishe mkeo?

ukimjuza mshahara ndo atakutawala?
dah una mentality nyeusi kijana.....ITAKUWIA NGUMU...sasa wewe ata mkeo akikukumbusha mme wangu kunywa dawa mda umefika utasema ahh anataka kunitawala...too much mawazo ya kudhan unataka kutawaliwa is harmfull...na inaonyesha jins gan upo inferior somewhre bas kdg tu lazima ulipuke...dzain kasoro zenyer kasoro ni 99 kushinda USHINDI wa uanaume wako...

amani..:A S-rose:
nasepa mie bye
 
Hizi ndoa hizi. Yani watu wanawachukulia wake zao kama ma housegirl. Kwa nini wife asijue kipato chako? Tatizo nyie mmeshajiwekea mwanaume ana ela kuliko mwanamke ndio maana mnaleta dharau.

Kama sijuhi kipato chako nitawezaje kupanga matumizi ndani?

Kwa mtaji huu mkaoe tu mashambani!
 
Mimi ninavyojua mke/mume lazima amwambie mwenzi kipato chake na amshirikishe kwenye maamuzi yote yanayohusu kipato, ikiwemo kupandishwa cheo au uamuzi wa kubadili kazi.

Mimi ndugu zangu wote hawafahamu mshahara wangu lakini mume wangu anajua income yangu yote kuanzia mshahara mpaka malupulupu mengine.

Pesa ni za familia si za mume wala mke! Jamani tuwe na upendo na tuache u mimi
 
Ni dhambi kubwa sana, hivi ni kipi cha thamani, mwili wako au mshahara? Kama mwili humfichi ambao huna mbadala au spea uanweza kumficha hela ambazo unaweza kuzipata haraka kama mshahara kila mwezi? Sikubaliani na suala la kumficha mwemzi wako mshahara wako ila changanya na ushauri wa Cheusimangala.
 
nakushangaa sana unaposema eti utamfukuza asipokujulisha mshahara wake
1. Umemuoa au kakuoa (labda umlishe libwata)
2. We mshahara wako unamkabidhi? Au ndo goalkeeper?
3. Mshahara wangu ni siri yangu, we unakula, unavaa, maisha ya amani sa unataka ujue hadi mshahara wangu inakuhusu nini?
4. We ni mwanamke, ukisoma bible Efeso, bible inasema wanawake muwatii waume zenu, co kuwaingilia hadi mipango yao.
5. Usiwe mmbabe ndani ya nyumba, we ni ua, na mumeo ni kichwa! Usitake kumtawala kihivyo.[/QUOTE]




crap.

kujua mshahara wake ndo kumuingilia mipango yake?

na km ni mipango ya maendeleo y usimjulishe mkeo?

ukimjuza mshahara ndo atakutawala?
dah una mentality nyeusi kijana.....ITAKUWIA NGUMU...sasa wewe ata mkeo akikukumbusha mme wangu kunywa dawa mda umefika utasema ahh anataka kunitawala...too much mawazo ya kudhan unataka kutawaliwa is harmfull...na inaonyesha jins gan upo inferior somewhre bas kdg tu lazima ulipuke...dzain kasoro zenyer kasoro ni 99 kushinda USHINDI wa uanaume wako...

amani..:A S-rose:
nasepa mie bye
Usipate tabu sweetheart, huyu jamaa wala HAITAMUWIA NGUMU, kwa sababu kwanza aina ya wanawake anaowahitaji ni wengi sana huko mitaani. Infact aina ya wanawake unaowafikiria wewe ni ngumu sana kupata Rose. Kimsingi bado tuna mfumo wa kale sana kwenye ndoa zetu nyingi kwa hyo uspate pressure bure mwanakwetu.
 
Ni dhambi kubwa sana, hivi ni kipi cha thamani, mwili wako au mshahara? Kama mwili humfichi ambao huna mbadala au spea uanweza kumficha hela ambazo unaweza kuzipata haraka kama mshahara kila mwezi? Sikubaliani na suala la kumficha mwemzi wako mshahara wako ila changanya na ushauri wa Cheusimangala.
Sasa DHAMBI inakuja vipi??!!!
 
nakushangaa sana unaposema eti utamfukuza asipokujulisha mshahara wake
1. Umemuoa au kakuoa (labda umlishe libwata)
2. We mshahara wako unamkabidhi? Au ndo goalkeeper?
3. Mshahara wangu ni siri yangu, we unakula, unavaa, maisha ya amani sa unataka ujue hadi mshahara wangu inakuhusu nini?
4. We ni mwanamke, ukisoma bible Efeso, bible inasema wanawake muwatii waume zenu, co kuwaingilia hadi mipango yao.
5. Usiwe mmbabe ndani ya nyumba, we ni ua, na mumeo ni kichwa! Usitake kumtawala kihivyo.[/QUOTE]




crap.

kujua mshahara wake ndo kumuingilia mipango yake?

na km ni mipango ya maendeleo y usimjulishe mkeo?

ukimjuza mshahara ndo atakutawala?
dah una mentality nyeusi kijana.....ITAKUWIA NGUMU...sasa wewe ata mkeo akikukumbusha mme wangu kunywa dawa mda umefika utasema ahh anataka kunitawala...too much mawazo ya kudhan unataka kutawaliwa is harmfull...na inaonyesha jins gan upo inferior somewhre bas kdg tu lazima ulipuke...dzain kasoro zenyer kasoro ni 99 kushinda USHINDI wa uanaume wako...

amani..:A S-rose:
nasepa mie bye

umeona eeh,
halafu wanaume dizain hii huwa ni vigumu sana kubadili fikra zao,
tena utakavyojaribu kumuelewesha ujue utaambiwa una mdomo na dharau.
Hujakosea kusema ana issue za inferiority complex.
 
Duh, hivi kumbe kuna watu wanafichana mishahara eeeh? Ni common sense tu. Let say Mkeo ni Mwalimu na wewe ni Mwalimu. Wote mmeajiriwa mwaka 2010 kwa ngazi ya mshahara TGTS D. Utamficha nini hapo? Au Mkeo ni Afisa Utumishi AU Mhasibu na wewe unafanya kazi serikalini. Kumficha mshahara wako huyu ni kutaka kuleta hali ya kutokuaminiana tu
Kwa mtazamo wangu kipindi cha kabla ya ndoa kitumike vizuri kuwekana sawa namna mtakavyopangilia mambo yenu na vipaumbele. Baadhi ya watu waliokuwa na tabia hii ya kutowaamini wake zao walisababisha matatizo makubwa kwa familia zao hasa mmoja wa wanandoa anapopata matatizo ghafla mfano kufariki n.k,
Ndoa jamani sio kulala kitanda kimoja na kuzaa watoto pekee ni zaidi ya hapo.
 
mim sio goalkeeper na kamwe sitakakuwa,usijeshangaa ukijua mm ni mpiganaji kuliko ww.
Na kwani ni ajabu mwanaume kufukuzwa?au kwa vile umezoea hao ambao ukiwaachia kodi ya meza tu umemaliza hawahitaji kujua mengine?hao ambao idara wanayoimudu ni jikoni tu?YES ,ninao uwezo wakumfukuza mwanamume akiwa ni kikwazo cha maendeleo na malengo yangu.
kipato changu nitamueleza na mim nitahitaji kujua chake ili tujue ni jinsi gani kipato chetu wote kitatupatia vipi maendeleo.
kutojua kipato cha mwenzangu ni kikwazo cha maendeleo ya familia yetu,lengo la kujua ni ili kama kwa mf. hatuna nyumba mm kama mama nijue tutajibana vipi hadi tujenge n.k.
hahaa eti ukiniachia tu HELA YA MATUMIZI mengine nisitake kujua,bahati mbaya mm siishi kwa kula kuvaa na kulala tu nataka mambo makubwa ya maendeleo hivyo usiponishirikisha ktk kipato chako utakua umenizuia kutafuta maendeleo ya familia yetu na ndio nitakutimua sbb mtu mwenye mawazo kama haya ni wale wanakazi nzuri lkn miaka yote kapangisha huko magomen na hata kivitara hana,mm nataka mwanaume mwenye kiu na akili ya maendeleo kama MIMI, pamoja na kuwa umesema situmii oblangata lkn u r very wrong my dear na kwa mawazo haya uliyonayo si ajabu una kipato kizuri lkn huna maendeleo.

punguza hasira cheusi mangala, kubali kuwa chin ya mumeo mana we ni mkewe! Kwa suala la kumfukuza bwanaako hapo utakuwa uko wrong, umetumia lugha ya ubabe, afu ukipelekea sana akili yako kwenye pesa na kujua kipato cha mumeo hutampenda na hutampa mapenzi ya dhati, utawaza pesa tu. Mambo mengine unapotezea tu. Right?
 
Back
Top Bottom