Je ni sahihi kumshirikisha mke ambaye hamjafunga ndoa kipato na mali ulizonazo..!?

Quarteman

Senior Member
Jul 31, 2016
129
169
Nimeileta hii mada kama swali, kutokana na changamoto ambazo huwa zinajitokeza katika mahusiano!
Unakuta mwanaume ameishi na mwanamke kwa kipindi cha mwaka mmoja au miwili bila ndoa, inafikia kipindi mwanamke anaanza kumuuliza mwanaume kuhusu namna anavyoutumia mshahara wake ama mshahara ni kiasi gani, mali alizonazo, ilihali hawana ndoa!
Sasa ikiwa mtu ana mpango wa kumuoa mwanamke anayeishi naye, je kabla ya ndoa ni sahihi mwanaume kumwambia kipato chake na namna anavyokitumia...?
Huwa wanawake inakuaje wanataka kuyajua hayo ilihali hamna ndoa.. na wakati mwingine baadhi ya wanaume unakuta hata hawafuatilii vipato vya hao wanawake..?
Wadau hebu tushauriane kwenye hili, lipi ni sahihi kufanya!!
 
Mi nna mke wangu tumeoana bila ndoa tunashare kipato fresh tu bila shida na tunaplan kujenga this year mwakani ndoa

So kila unachoingiza na kutumia unaweka wazi..? Ama kuna maeneo unayahide kwanza pengine kwa sababu unazizijua wewe..?!
 
Kuna shida pahala, ila sijaju ni wapi???
Na naona wewe ndy mwenye shida haiwezekani mpaka sana watu 11 waview wasicomment uzi wako...

Kwan wewe unaonaje sahihi au siyo sahihi???
 
Kuna shida pahala, ila sijaju ni wapi???
Na naona wewe ndy mwenye shida haiwezekani mpaka sana watu 11 waview wasicomment uzi wako...

Kwan wewe unaonaje sahihi au siyo sahihi???

Suala la kuview ni lingine na kucomment ni lingine!
Wewe kwani nyuzi ngapi unaziview bila kucomment chochote?
Lakini hata hicho ulichoandika ni comment pia!
Wenye maona ya kipi sahihi watakuja!
Kuna watu wengine huwa wanaview nyuzi anasubscribe anarudi baada ya muda kucomment!
 
huenda anatak kukupawazo zuri la kusogeza alaf kisheria mkiishi pamoja miez 6 ni mke tayari
Wakat mwingine baraka huja kutokana na watu unaoishi nao kuwa makini
 
huenda anatak kukupawazo zuri la kusogeza alaf kisheria mkiishi pamoja miez 6 ni mke tayari
Wakat mwingine baraka huja kutokana na watu unaoishi nao kuwa makini

Kumbe..? Hiyo sheria inayosema hivyo japo ungesaidia kuileta mkuu, ingesaidia tukajifunza tuliyokuwa hatujui!
Tafadhali kama unaweza kukileta hicho kipengele ingekuwa vizuri sana!
 
Mawasiliano ndio msingi wa mahusiano.

Kwa nini uyabloku makusudi.

Mawasiliano ni kugawana taarifa pande zote sasa kwa nini uyakatishe makusudi kwa huyo unayedai kuwa ni mkeo mwili mmoja.
 
Kumbe..? Hiyo sheria inayosema hivyo japo ungesaidia kuileta mkuu, ingesaidia tukajifunza tuliyokuwa hatujui!
Tafadhali kama unaweza kukileta hicho kipengele ingekuwa vizuri sana!
Sijui kipo wapi kwakweli naelewaga hivo km kunawatu wanafahamu zaidi watakuelewesha Mali sio kitu Kwa mtu anaekupikia na Kuishi nawe pamoja akitak kukufanyia ubaya ni sekunde tu
Jichunguze una kauchoyo au lah humpendi huyo mwanamke
Jaribu kumshirikisha machache uipime akili yake utapata majibu ni sawa au sio sawa
 
Kumbe..? Hiyo sheria inayosema hivyo japo ungesaidia kuileta mkuu, ingesaidia tukajifunza tuliyokuwa hatujui!
Tafadhali kama unaweza kukileta hicho kipengele ingekuwa vizuri sana!
Utaingizwa chaka mzeya. Hawa wanawake wasijue mapato na matumizi wao cha msingi unamuhudimia
 
una uliza upumbafu ajue kama nani? ye ili mladi anahudumiwa basi,kabla ya yote walo kusomesha wanajua unapokea kiasi gani? na unatumiaje mshahara wako?
 
ni sahihi kbs na km unaona c sahihi ht kojoleo lako usimshirikishe that's all.
 
Huyo siyo mke , mke lazima mfunge ndoa kimila , kiserikali au kidini na sio kuchukuana tuu ukamweka gheto , huyo ni Sawa na hawara, mpenz n.k .... Hata akitokea mwamba hapo akamchukua akafunga naye ndoa chap chap huna la kusema mzee anakukana vizur tuu
 
Back
Top Bottom