Kwa hiyo kwenye ndoa mnatumia mlivyovuna?Nani amekwambia maendeleo yanapatikana kwenye ndoa???? kama unataka maendeleo yatafute kwanza, kisha ndo uoe au kuolewa.
Kwa hiyo kwenye ndoa mnatumia mlivyovuna?
Ndiyo.unataka kuniambia ww unaoa ili upate maendeleo mkuu?