Je ni sahihi hii kauli

Je ni sahihi hii kauli

Watu wengi au kalibia watu wote hutumia hii kauli je ni sahihi

Nilimkuta hayupo 😂

Una mkutaje mtu af mda huo huo ana potea wajuzi wa lugha tupeni muongozo hii imekaaje?
Kiswahili kitarafa hicho mwanawane.

Ni maneno ya kiulaloulalo yanayo tumiwa na wahusika flani kwa mawasiliano.

Mbona viswahili viraka ni vingi sana mitaani mkuu?

Haujasikia dume zima linamwambia mwanamke 'nakutaka' likimaanisha 'nakutamani'?

Ya mtaani huwezi kuyamaliza.
 
Kiswahili kitarafa hicho mwanawane.

Ni maneno ya kiulaloulalo yanayo tumiwa na wahusika flani kwa mawasiliano.

Mbona viswahili viraka ni vingi sana mitaani mkuu?

Haujasikia dume zima linamwambia mwanamke 'nakutaka' likimaanisha 'nakutamani'?

Ya mtaani huwezi kuyamaliza.
Embu tu chambue
 
Back
Top Bottom