majumba 6
JF-Expert Member
- Apr 20, 2020
- 302
- 924
kuna mmoja alipanda cheo kwa kukata vizuri kiuno mbele ya mwendazakeToa upuuzi wako, anatafuta kupanda cheo kwa kulia, ulishamuona Nani kapandishwa cheo kwa kulia?
Kuweni waungwana mda mwingine!
kuna mmoja alipanda cheo kwa kukata vizuri kiuno mbele ya mwendazakeToa upuuzi wako, anatafuta kupanda cheo kwa kulia, ulishamuona Nani kapandishwa cheo kwa kulia?
Kuweni waungwana mda mwingine!
NyoronyoroTunategemea askari wetu ndio wanabeba watu wanaozimia msibani sasa na wao wanapoanza kulia inaashiria nini?View attachment 1730237
kifo kisikie tu kwa jirani sio mchezo.Tunategemea askari wetu ndio wanabeba watu wanaozimia msibani sasa na wao wanapoanza kulia inaashiria nini?View attachment 1730237
Unauliza kiboya.......kwani Askari Hana machozi?? Au Hana hisia???Tunategemea askari wetu ndio wanabeba watu wanaozimia msibani sasa na wao wanapoanza kulia inaashiria nini?View attachment 1730237
HII NDO PICHA ILIYO TREND KWA LEO, MITANO TENA KWA HYU KAMANDA.Huyu nae vipi?
Tusiwajudge jamani, acha kitu inaitwa hisia. Ama ubanwe na lile donge la uchungu
View attachment 1730258
Na kuwa namkosoa kosoa, ila leo na mimi imeniuma sana. Jamaa watu wengi walikuwa wanampenda bwana. Mimi mwenyewe jana ndipo nimegundua nilikuwa namkubali, sikuwa namchukia ila sikujua kuwa nilikuwa namkubali.Huyu nae vipi?
Tusiwajudge jamani, acha kitu inaitwa hisia. Ama ubanwe na lile donge la uchungu
View attachment 1730258
Kwa kweli sio mchezo, juzi kati tu mimi nimetoka kulia kwenye msiba usionihusu kisa tu nilikuwa nambembeleza mmoja wa wafiwa. Ile kilio yake tu ikaniletea uchungu usiovumilika.kifo kisikie tu kwa jirani sio mchezo.
Ni emotional thing which is beyond his/her control. Siku ukifikwa ndo utajua nn maana yake. Mwanadamu yyt ana hisia za machungu au furaha. Za furaha huweza kuzuilika at least lkn za uchungu ni mbaya zaidi kuzizuia.Tunategemea askari wetu ndio wanabeba watu wanaozimia msibani sasa na wao wanapoanza kulia inaashiria nini?View attachment 1730237
Sana. Mimi Leo Instagram imeniumiza kutokana na posts za Mzee Baba.... Hakika alikuwa ni mwana wa watu, mwanga wa milele umuangazie.Na kuwa namkosoa kosoa, ila leo na mimi imeniuma sana. Jamaa watu wengi walikuwa wanampenda bwana. Mimi mwenyewe jana ndipo nimegundua nilikuwa namkubali, sikuwa namchukia ila sikujua kuwa nilikuwa namkunali.
Huyu nae vipi?
Tusiwajudge jamani, acha kitu inaitwa hisia. Ama ubanwe na lile donge la uchungu
View attachment 1730258
Yah, you never miss a good thing until it's gone.Sana. Mimi Leo Instagram imeniumiza kutokana na posts za Mzee Baba.... Hakika alikuwa ni mwana wa watu, mwanga wa milele umuangazie.
Posts za MillardAyo zitatibua maumivu kwa watu wengi.
Anatoka Chato, anauchungu tofauti!!Huyu hafai
Huyu nae vipi?
Tusiwajudge jamani, acha kitu inaitwa hisia. Ama ubanwe na lile donge la uchungu
View attachment 1730258
Ni hawa wa mwendokasi ambao hawajaiva kimafunzo.. Jeshi halijawapika vema...lakini ni vipi kama analia kilio cha furaha?Tunategemea askari wetu ndio wanabeba watu wanaozimia msibani sasa na wao wanapoanza kulia inaashiria nini?View attachment 1730237