Hivi ndivyo askari anavyopaswa kulia, siyo alie hadi akae chini au ainame na kufuta uso kwa muda mrefuHuyu nae vipi?
Tusiwajudge jamani, acha kitu inaitwa hisia. Ama ubanwe na lile donge la uchungu
View attachment 1730258
JPM alikua raisi wetu ila hujui alikua nani zaidi kwake so ile ni hisia ya ndani kabisa.Nyoronyoro
Swali la kijinga. Unadhani huyo robot kwamba hana hisia?Tunategemea askari wetu ndio wanabeba watu wanaozimia msibani sasa na wao wanapoanza kulia inaashiria nini?View attachment 1730237
Amekomaa na wanaruhusiwa kulia. Wazembe ni maaskari wenzake walio karibu yake,walitakiwa wamzunguke kwa kumuweka katikati ya duara huku wamemuinamia asionekane.Au tuseme tatizo pia ni private, hajakomaa ipasavyo![]()
Mkuu kuna vitu vinasononeshaTunategemea askari wetu ndio wanabeba watu wanaozimia msibani sasa na wao wanapoanza kulia inaashiria nini?View attachment 1730237
Kutoa machozi hakuna shida shida ni.kulia kwa sauti au kutokua timamu kabisa.Huyu nae vipi?
Tusiwajudge jamani, acha kitu inaitwa hisia. Ama ubanwe na lile donge la uchungu
View attachment 1730258
Huyu bado mmbichi san anaonekana ata mwaka hana tangu aanze usoja, ukichek ata gwanda zake bado ni mpya kabisa so bado hajaivaTunategemea askari wetu ndio wanabeba watu wanaozimia msibani sasa na wao wanapoanza kulia inaashiria nini?View attachment 1730237
Mshana kuwa muungwana, mwanajeshi ni binadamu anayetumikia jeshi, kutokulia hakukufanyi kuwa shujaa Wala kulia hakukufanyi kuwa dhaifu.Ni hawa wa mwendokasi ambao hawajaiva kimafunzo.. Jeshi halijawapika vema...lakini ni vipi kama analia kilio cha furaha?
Sent using Jamii Forums mobile app

Ulitakiwa ufanye utafiti mdogo tu kabla ya kupost nadhani usingeandika chochote. Askari hata wazoefu na wenye vyeo zaidi ya huyo hulia.Tunategemea askari wetu ndio wanabeba watu wanaozimia msibani sasa na wao wanapoanza kulia inaashiria nini?View attachment 1730237
Kama hujui kitu kaa kimya!! huyo ni wa ovyo kabisa hafaiKwani wao hawana hisia!? wao si binadamu!?
Yaap, hiki ndicho nilitaka ku-comment.Kulia wanaruhusiwa na ni sawa ila wasilie kama huyo hadi anaficha uso au asilie hadi kulegea hata kugaragara chini!