Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,091
hao ni watoto wadogo wanaolelewa au hawahusiki kwani hayajawapata.Unawafahamu wale watoto MASKAUTI au wale vijana wa RED CROSS umewahi kuwaona wanalia? Au na wao hawana hisia za kibinadamu?
hao Red Cross inawezekana wakifiwa na wazazi wao watacheka
Kiufupi hakuna jeshi linayozuia mtu ukiwa na huzuni usilie au kutabaasamu
Kama Waziri Mkuu Kassim M. Kassim alilia Machozi baada ya kuaga kwa kumtizama Boss wake ina maana gani kwako, tena nasikia kuna Dini inakataza kuaga kwa namna hiyo.