Huyu hafaiTunategemea askari wetu ndio wanabeba watu wanaozimia msibani sasa na wao wanapoanza kulia inaashiria nini?View attachment 1730237
Kwani wao hawana hisia!? wao si binadamu!?Tunategemea askari wetu ndio wanabeba watu wanaozimia msibani sasa na wao wanapoanza kulia inaashiria nini?View attachment 1730237
Au tuseme tatizo pia ni private, hajakomaa ipasavyo 😀Huyu hafai
umemjibu vyema,Nao ni binadamu mkuu!
Toa upuuzi wako, anatafuta kupanda cheo kwa kulia, ulishamuona Nani kapandishwa cheo kwa kulia?anataka apande cheo labda maana askari wetu kwa kiki nao hawajambo