Je, Ni lazima kumpa mpenzi wako pesa kila akija nyumbani kwako?

yuda75

JF-Expert Member
Aug 16, 2020
520
1,379
Habarini wadau wana JF

Je, kunaulazima wa kumpa mpenzi wako pesa kila akija nyumbani kwako? Maana inakuwa kama umemnunua vile ninavyoona maana muda wa kuondoka wanakodoa macho kweli.

Mbona wanaume wakienda kwa wapenzi wao wa kike hamtupi nauli? Au ndo mwanaume utakula kwa jasho maana mbinguni tutaenda tumechoka sana.
 
Duuuuh! We jamaa haupo serious aseeee. Unataka ukienda kwa mwanamke wako akupe nauli kama wewe unavyompa yeye akija kwako? Really!!

Labda itokee yeye anakuhitaji uende kwake halafu huna hela ukamwambia kisha yeye akuambie nenda tu nauli atakulipia hapo walau kidogo inaleta maana, vinginevyo mwanaume pambana uwe na hela, la utadharaulika sana.
 
You just made me laugh.

Hahahahhahaha mueleze na yeye ukienda kwake unataka nauli.
 
Yaani wanaume wa siku hizi sijui mkoje, unapata muda wa kujiuliza swali kama hilo? Huna haja ya kua na mahusiano utatesa tu watoto wa watu.
 
Ila kiukweli inazingua sana hii situation,maana anakuja kwangu sio kwamba ni barabarani tunakutana then kila akiondoka nimpatie pesa sasa si ni kama nanunua penzi.
 
Duuuuh! We jamaa haupo serious aseeee. Unataka ukienda kwa mwanamke wako akupe nauli kama wewe unavyompa yeye akija kwako? Really!!

Labda itokee yeye anakuhitaji uende kwake halafu huna hela ukamwambia kisha yeye akuambie nenda tu nauli atakulipia hapo walau kidogo inaleta maana, vinginevyo mwanaume pambana uwe na hela, la utadharaulika sana
Hivi vitu ukifuatilia kwa makini na ukafanya utafiti haswaa, conclusion inakuja mwanaume unatakiwa uwe na hela hakuna namna nyingine yaani.
 
Back
Top Bottom