je ni kweli?

je ni kweli?

Joined
Feb 8, 2017
Posts
79
Reaction score
27
wakat niko kweny daladala la gongo la mboto naelekea kumtembelea jamaa yangu pande za kisemvule kuna jamaa akawa anamuomba ushauri mwenzake..

huyo jamaa kasomea procurement sasa anamwambia mwenzake anataka kubadili fani asomee post graduate ya marketing ili aweze kubadili fani awe mtu wa marketing, kwa maana nyingine mtu anayesoma postgraduate ya kozi tofauti na bachelor yake anakuwa kama amebadili fani.

je ni kweli ilo jambo liko sahihi?
 
wakat niko kweny daladala la gongo la mboto naelekea kumtembelea jamaa yangu pande za kisemvule kuna jamaa akawa anamuomba ushauri mwenzake..

huyo jamaa kasomea procurement sasa anamwambia mwenzake anataka kubadili fani asomee post graduate ya marketing ili aweze kubadili fani awe mtu wa marketing, kwa maana nyingine mtu anayesoma postgraduate ya kozi tofauti na bachelor yake anakuwa kama amebadili fani.

je ni kweli ilo jambo liko sahihi?

Anajisumbua tu,,ataambulia kuuza karanga na korosho mitaani...kwa bongo mtu aliyeenda shule sijaona akijiajiri au kupata maendelei flani unless kuomba omba tu kuajiriwa
 
Kwanza we ni muongo. Gari la gongo la mboto na halipiti Kisemvule and there's no way likapita huko. Uongo.
 
  • Thanks
Reactions: bbc
Kwanza we ni muongo. Gari la gongo la mboto na halipiti Kisemvule and there's no way likapita huko. Uongo.
Hapa hata mimi nimeshangaa, nijuavyo mimi kwenda Kisemvule unapitia Mbagala rangi tatu (barabara ya Kilwa), labda kuna Kisemvule nyingine ya Gongo la mboto!
 
Hapa hata mimi nimeshangaa, nijuavyo mimi kwenda Kisemvule unapitia Mbagala rangi tatu (barabara ya Kilwa), labda kuna Kisemvule nyingine ya Gongo la mboto!
kuna gari za gongo la mboto - mbagala......unShuka mbagala alafu unapanda ya kisemvule
 
Back
Top Bottom