Hawajawa contaminated na dunia chafu
Ile ni jambo la kiimani zaidi lisilohusika na vurugumechi za kiduniaVipi kuhusu dhambi za asili?
Ile ni jambo la kiimani zaidi lisilohusika na vurugumechi za kidunia
Mimi ninachojua tu ni kwamba huwa wanakuwa active sana pale ambapo Wazazi wao Wanabanduana na mshindo ukimalizika nao hupatwa na usingizi wa ghafla.
Unaweza kutupa prouv? Ya uhakika kabisa kua watoto wachanga huwaona wachawi?Kuna post yake nimeisahau heading nimelizungumzia hilo kwa undani
Ni kweli kabisa watoto huona wachawi kwakuwa they are still very pure
Swali zury sana maana wote tulikua wachanga sasa je kwenye kumbukumbu wa yyte je aliwahi kuwaona? Mimi sikumbuki kama niliwahi kuwaonaWewe ulipokuwa mtoto ulikuwa unawaona wachawi?
Maana yake ww hukuwahi kua mchanga ili uje kuthibitisha dhana uzaniayo kwa huyo mtoto?Ninakubaliana na wewe Bro, mtoto wangu alipokuwa mdogo (chini ya mwaka na nusu) akija msichan mpya wa kazi kama ni mbaya usiku wake tunajua kwani mtoto hatalala atalia na kusumbua usiku kucha....tukishaona hivyo tulikuwa tunafanya maombi mtoto analala vzr tu....then tunaweka utaratibu wa kuomba kila siku usiku kabla ya kulala pamoja na msichana wa kazi....kwa kwel walikuwa hawakai sana kwetu hao wenye mambo ya ajabu walikuwa wanaondoka tena wengine ktk mazingira ya kutatanisha kabisa,
HahahahahahahahahaHawajawa contaminated na dunia chafu
Picha TafadhalHad mm nirkuwa naona
Dhambi ya asili ndio ikoje hiyoVipi kuhusu dhambi za asili?
Acha ulimbukeni wa serikali yako.! Uchawi upo na wachawi wapo.Wanaonaje wachawi wakati Hakuna uchawi wala wachawi. Story za uchawi ni za kusadikika na wajinga fall for it