Unawasikiliza waislamu? Upeo wao ni mdogo sana kwenye kila kitu.Marko 16:15-16
15Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
Mathayo 28:19
Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.
Tunaambiwa ukristo sio dini Hawa watu ambao yesu alikuwa anawatuma waende ulimwengu wakawafanye watu wawe wanafunzi au wafuasi wa yesu walikuwa wa dini gani ? Au Baada ya watu kuamini na kubatizwa watakuwa wa dini gani ?
Yesu amekukataa wewe kwenye biblia, huna pakukimbilia isipokuwa Uislam tu. Soma:Ili la magaidi kuwalazimisha watu wafate dini Yao linapatana wapi na mafundisho
Huyo Yohana aliyekuwa anabatiza watu alikuwapo kabla ya YESU ,Marko 16:15-16
15Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
Mathayo 28:19
Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.
Tunaambiwa ukristo sio dini Hawa watu ambao yesu alikuwa anawatuma waende ulimwengu wakawafanye watu wawe wanafunzi au wafuasi wa yesu walikuwa wa dini gani ? Au Baada ya watu kuamini na kubatizwa watakuwa wa dini gani ?
Huyo Yohana aliyekuwa anabatiza watu alikuwapo kabla ya YESU ,
Je yeye alibatizwa na nani?
Na kama YESU ndy aliyeleta ukristo hayo mamlaka ya Yohana kubatiza watu alipewa na nani?.
Na kwanini watu wabatizwe?
ili uwe muislam ni lazima usilimu Bi Mkubwa embu acha tafsiri zako , soma kilichoandikwa.Mataifa ni 12 tu yanayojulikana kwenye biblia. hata Yesu kishasema nyiny hana kiti chenu, soma viti vipo vingapi mbinguni:
Mathayo 19:
28 Yesu akawaambia, Amin, nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufu wake, ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi na viwili, mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israeli.
- Yohana na Yesu wamepishana kwa umri wa miezi 6 tu.Huyo Yohana aliyekuwa anabatiza watu alikuwapo kabla ya YESU ,
Je yeye alibatizwa na nani?
Na kama YESU ndy aliyeleta ukristo hayo mamlaka ya Yohana kubatiza watu alipewa na nani?.
Na kwanini watu wabatizwe?
Huo uislam umeanzishwa na Wakatoliki ni tawi la Ukristo,so unaachaje tawi unafata shina.Yesu amekukataa wewe kwenye biblia, huna pakukimbilia isipokuwa Uislam tu. Soma:
31 Mtu huyo Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa kuume, awe Mkuu na Mwokozi, awape Waisraeli toba na msamaha wa dhambi.
Yesu amekukataa wewe kwenye biblia, huna pakukimbilia isipokuwa Uislam tu. Soma:
31 Mtu huyo Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa kuume, awe Mkuu na Mwokozi, awape Waisraeli toba na msamaha wa dhambi.
- Yesu ni mwana wa MUNGU, na jina la baba yake ni Jehovah/Elohim/Adonai.
Hivi unasomaga kabla ya kufikiri , Au unafikiri kabla ya kusomaYesu amekukataa wewe kwenye biblia, huna pakukimbilia isipokuwa Uislam tu. Soma:
31 Mtu huyo Mungu amemtukuza(amemchagua) kwa mkono wake wa kuume, awe Mkuu na Mwokozi, awape Waisraeli toba na msamaha wa dhambi.
Ukristo sio Dini ndio Kwa sababu Dini ni Njia ya Mwanadamu kumtafuta Mungu wao.
Katika hizo Njia kuna Amri, sheria, na Hukumu.
Ili Dini iwe dini lazima iwe na Amri, sheria na Hukumu.
Ukristo hauna Sifa hiyo.
Ukristo unaamri kuu moja tuu isemayo "Upendo" Yaani Mpende Bwana Mungu wako Kwa Moyo wako wote, Akili zako zote na nguvu zako zote. Kisha Mpende jirani yako kama Nafsi yako.
Lakini haina hukumu Kwa wanaokiuka amri hiyo. Hivyo amri hiyo automatically inakuwa batili.
Lakini Uyahudi ni Dini Kwa sababu inatoa amri na sheria na hukumu Kwa watakaokiuka.
Uislam ni Dini Kwa sababu NAO unatoa amri na sheria na Hukumu Kwa watakaokiuka.
Ukristo sio Dini Kwa sababu umejikita Kiroho zaidi. Kumbuka Dini ni lazima ijikite kimwili Kwa sababu wanadamu Sisi ni miili na Matendo yetu ndio hutoa tafsiri ya kile kinachoendelea moyoni. Na tunahusiana Sisi Kwa Sisi Kwa Njia ya Mwili ndio maana dini inaweka sheria za kudhibiti mwili na sio Roho.
Ukristo sio Dini Bali ni ufuasi WA mhusika aitwaye Kristo ambaye dini yake ilikuwa Uyahudi. Na angehukumiwa Kwa mujibu wa dini ya kiyahudi ikiwa angekosea moja ya kanuni, sheria na amri za dini ya Kiyahudi.
Ukristo sio Dini ndio Kwa sababu Dini ni Njia ya Mwanadamu kumtafuta Mungu wao.
Katika hizo Njia kuna Amri, sheria, na Hukumu.
Ili Dini iwe dini lazima iwe na Amri, sheria na Hukumu.
Ukristo hauna Sifa hiyo.
Ukristo unaamri kuu moja tuu isemayo "Upendo" Yaani Mpende Bwana Mungu wako Kwa Moyo wako wote, Akili zako zote na nguvu zako zote. Kisha Mpende jirani yako kama Nafsi yako.
Lakini haina hukumu Kwa wanaokiuka amri hiyo. Hivyo amri hiyo automatically inakuwa batili.
Lakini Uyahudi ni Dini Kwa sababu inatoa amri na sheria na hukumu Kwa watakaokiuka.
Uislam ni Dini Kwa sababu NAO unatoa amri na sheria na Hukumu Kwa watakaokiuka.
Ukristo sio Dini Kwa sababu umejikita Kiroho zaidi. Kumbuka Dini ni lazima ijikite kimwili Kwa sababu wanadamu Sisi ni miili na Matendo yetu ndio hutoa tafsiri ya kile kinachoendelea moyoni. Na tunahusiana Sisi Kwa Sisi Kwa Njia ya Mwili ndio maana dini inaweka sheria za kudhibiti mwili na sio Roho.
Ukristo sio Dini Bali ni ufuasi WA mhusika aitwaye Kristo ambaye dini yake ilikuwa Uyahudi. Na angehukumiwa Kwa mujibu wa dini ya kiyahudi ikiwa angekosea moja ya kanuni, sheria na amri za dini ya Kiyahudi.
Wacha kutoa vitu akiliniUkristo sio Dini ndio Kwa sababu Dini ni Njia ya Mwanadamu kumtafuta Mungu wao.
Katika hizo Njia kuna Amri, sheria, na Hukumu.
Ili Dini iwe dini lazima iwe na Amri, sheria na Hukumu.
Ukristo hauna Sifa hiyo.
Ukristo unaamri kuu moja tuu isemayo "Upendo" Yaani Mpende Bwana Mungu wako Kwa Moyo wako wote, Akili zako zote na nguvu zako zote. Kisha Mpende jirani yako kama Nafsi yako.
Lakini haina hukumu Kwa wanaokiuka amri hiyo. Hivyo amri hiyo automatically inakuwa batili.
Lakini Uyahudi ni Dini Kwa sababu inatoa amri na sheria na hukumu Kwa watakaokiuka.
Uislam ni Dini Kwa sababu NAO unatoa amri na sheria na Hukumu Kwa watakaokiuka.
Ukristo sio Dini Kwa sababu umejikita Kiroho zaidi. Kumbuka Dini ni lazima ijikite kimwili Kwa sababu wanadamu Sisi ni miili na Matendo yetu ndio hutoa tafsiri ya kile kinachoendelea moyoni. Na tunahusiana Sisi Kwa Sisi Kwa Njia ya Mwili ndio maana dini inaweka sheria za kudhibiti mwili na sio Roho.
Ukristo sio Dini Bali ni ufuasi WA mhusika aitwaye Kristo ambaye dini yake ilikuwa Uyahudi. Na angehukumiwa Kwa mujibu wa dini ya kiyahudi ikiwa angekosea moja ya kanuni, sheria na amri za dini ya Kiyahudi.
Umepiga mulemule kiongozi!Swali lako siyo la kijinga.
-Ukristu=unaojinasibisha na Kristu/Wamfuatao Kristu/Yesu Kristu.
-Mkristu=Mfuasi wa Yesu Kristu.
Kama Yesu Kristu aliwatuma wanafunzi waliokuwa wafuasi wake,basi walikuwa Wakristo.Maana yake ni wa kwake Kristo Yesu.Nimekujibu kwa lugha nyepesi ili uendelee kutandika kitanda.
Jibu lako mbona jepesi hivio au ujafahamu muulizaji kauliza nn?namnukuu je ukirito dini?Mkuu, ktakacho kupeleka peponi au motoni ni matendo yako, siyo dinii
Anza kuondoa huo ujinga kwa maelezo hayo hapo juu, ikishindikana soma haya hapa chini
Naambatisha
Naomba niwakumbushe kwamba tutahukumiwa kwa kadiri ya matendo yetu
Wasalaam wana JF Kwa wale wanaoamini uzima wa milele yaani maisha baada ya kufa yenye raha (mbinguni) na yale yenye mateso (motoni) Ni hivi, kigezo ni kimoja tu matendo yetu, kwa urahisi wa rejea tusome: Ufunuo 20:13 Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa...www.jamiiforums.com