Je ni kweli ukristo sio dini?

Je ni kweli ukristo sio dini?

Marko 16:15-16

15Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.

Mathayo 28:19

Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.


Tunaambiwa ukristo sio dini Hawa watu ambao yesu alikuwa anawatuma waende ulimwengu wakawafanye watu wawe wanafunzi au wafuasi wa yesu walikuwa wa dini gani ? Au Baada ya watu kuamini na kubatizwa watakuwa wa dini gani ?
Ukristo siyo dini. Ni mpango wa Mungu kuwafanya watu wafuate sheria zake (watende mema).
Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu ila Mungu au Yesu hawana dini.
 
Mataifa ni 12 tu yanayojulikana kwenye biblia. hata Yesu kishasema nyiny hana kiti chenu, soma viti vipo vingapi mbinguni:

Mathayo 19:
28 Yesu akawaambia, Amin, nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufu wake, ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi na viwili, mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israeli.
😀😀😀😀😀
Biblia ukiisoma km gazeti utakuja na tafsri kama ya nabii Tito, Kibwetele aliyewachoma waumini wake kanisani, yule aliyefunga siku 30 bila kula km Yesu au yule wa Kenya aliyewaambia wafunge ili wamuone Yesu.
Hawa wote walisoma Biblia km gazeti na matokeo yake waliishia kuua watu.
Nawe ni miongoni mwao kwahiyo wala sikushangai
 
Upeo wa kujadiliana nae kuhusu dini ni nini huna
Ananikimbiaga kwenye maswali yangu. Ananijua vizuri sana.

Hata hapa utaona jinsi atakavyokimbia maswali. Kama ana ubavu AJE HAPA tujadiliane... na wewe chawa wake pia uwepo hapa kumsaidia
 
Bado Kuna dini hapo ambayo yapasa kufuatwa Kama atakavyo huyo Mungu baba,na Kwa Imani ya (baadhi)kikiristo Mungu baba siyo yesu
Dini ni njia ya kumfata MUNGU/mungu .
Na anaweza akawa mungu wa uongo au wa kweli.
Kwa MUNGU wa mbinguni (wa kweli) njia ni Yesu
Yohana 14:6-7 " Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona. "

Kwa hiyo pia Kuna njia za kukupeleka kwa Mungu wa uongo
Mohammed =>>>> Allah
Siddhartha Gautama =>>>> Buddha
 
Ulimwenguni wapi?! Hadi uku kwetu walifika hiyo sheria ya kubatizwa ni kwa wayahudi tu

Halafu toa andiko yesu kasema kuweni wakristo hata huyo yesu haujui ukristo ye kuondoka baada ya miaka 12 ndio Paulo kaja na haya hapa

SOMA MATENDO YA MITUME 11 : 25
Wakristo maana yake ni wafuasi wa Kristo hilo ni jina la kupanga tu walilolitumia wapagani wa antiokya



Sasa wapagani ndio wamewapa dini mzeee
 
Ulimwenguni wapi?! Hadi uku kwetu walifika hiyo sheria ya kubatizwa ni kwa wayahudi tu

Halafu toa andiko yesu kasema kuweni wakristo hata huyo yesu haujui ukristo ye kuondoka baada ya miaka 12 ndio Paulo kaja na haya hapa

SOMA MATENDO YA MITUME 11 : 25
Wakristo maana yake ni wafuasi wa Kristo hilo ni jina la kupanga tu walilolitumia wapagani wa antiokya



Sasa wapagani ndio wamewapa dini mzeee
Unasema "wapagani wamewapa dini".
Kwa hiyo Ukristo ni Dini? Ni Dini au siyo Dini?

Unaona jinsi mnajichanganya wavaa kobazi!!!
Wenzako wanasema Ukristo sio dini, wewe hapo unasema ni Dini.

Sasa tushike lipi?
 
Msitutoe kwenye reli kwa hoja sisizo na mashiko ,bandari, bandari, bandari hili ndio jambo lakupigania kwa sasa hatutaki,kurudi utumwani.IGA ya dp world ifanyiwe review.
 
Ulimwenguni wapi?! Hadi uku kwetu walifika hiyo sheria ya kubatizwa ni kwa wayahudi tu
- Kubatizwa sio sheria.

- Ubatizo haukua kwa wayahudi tu.
Mathayo 28 : 19-20
" Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu. Wafundisheni kushika maagizo yote niliyowapeni. Nami nipo pamoja nanyi siku zote; naam, mpaka mwisho wa nyakati.”
 
Dini ni njia ya kumfata MUNGU/mungu .
Na anaweza akawa mungu wa uongo au wa kweli.
Kwa MUNGU wa mbinguni (wa kweli) njia ni Yesu
Yohana 14:6-7 " Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona. "

Kwa hiyo pia Kuna njia za kukupeleka kwa Mungu wa uongo
Mohammed =>>>> Allah
Siddhartha Gautama =>>>> Buddha
Dini(kiarabu-njia) ni huo utaratibu uliowekwa ambao unaufuata,iwe amri kumi au tambiko hiyo ni dini
 
Ananikimbiaga kwenye maswali yangu. Ananijua vizuri sana.

Hata hapa utaona jinsi atakavyokimbia maswali. Kama ana ubavu AJE HAPA tujadiliane... na wewe chawa wake pia uwepo hapa kumsaidia
Huna maswali ya maana
 
Ukristo umetokana na neno Yesu Kristo...

Sio dini...

Tulio wakristo yaani ni wale ambao tunamtegemea Yesu Kristo kama Bwana na mwokozi wetu...

Dini ni madhehebu...
Kama Lutheran, Catholics, Anglicana...
 
Marko 16:15-16

15Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.

Mathayo 28:19

Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.


Tunaambiwa ukristo sio dini Hawa watu ambao yesu alikuwa anawatuma waende ulimwengu wakawafanye watu wawe wanafunzi au wafuasi wa yesu walikuwa wa dini gani ? Au Baada ya watu kuamini na kubatizwa watakuwa wa dini gani ?
Ukristo Si Dini, ni maisha matakatifu.
 
Ulisema dini iwe na amri na Sheria,wewe imeweka amri kumi Kama amri na Sheria ilhali zile ni amri na si sheria

Wapi kosa lilipo sijakuelewa


Amri
Yesu alizitaja amri zile alizopewa Musa
Luka 18 : 18-30 " Tena, mtu mkubwa mmoja alimwuliza, akisema, Mwalimu mwema, nifanye nini ili nipate kuurithi uzima wa milele? Yesu akamwambia, Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, naye ndiye Mungu. Wazijua amri; Usizini, Usiue, Usiibe, Usishuhudie uongo, Waheshimu baba yako na mama yako . . . . . . . "

Sheria(Torati)
Agano jipya nimwendelezo wa agano la kale na haikuja kufuta agano la kale
Mathayo 5 : 17 " Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati(sheria) au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. "
 
Ningekuwa sina maswali ya maana Mwalimu wako Faiza asingekuwa anatoka nduki.

Si unaona hata hapa amejikausha hajajitokeza kujibu challenge yangu?
Huwezi jadiliana na mgonjwa akili,atakukausha mate tu
 
Back
Top Bottom