Je ni kweli ukristo sio dini?

Je ni kweli ukristo sio dini?

Dini ni njia ya mwanadamu kumtafuta Mungu. Na njia pekee ya kumpata Mungu wa kweli ni kupitia imani katika Yesu Kristo.


Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Yohana 14:6
Jibu swali ukirito sio dini?
 
Mkuu, ktakacho kupeleka peponi au motoni ni matendo yako, siyo dinii

Anza kuondoa huo ujinga kwa maelezo hayo hapo juu, ikishindikana soma haya hapa chini

Naambatisha
Kwa hiyo matendo utayatenda kwa misingi ipi!?..kwa uelewa wako dini ni nini!?..wapare walikua wakitupa watoto walioanza kuota meno ya chini pale bondeni nkumba vana,wanyamwezi mtemi akifa anazikwa na Binti mzuri aliye hai ili amburudishe huko,he kwako hayo ni sawa!?
 
Ukoo mmoja unaitwa Massawe , ulianzia kwa mzee mmoja anayeitwa Massawe . Mzee huyo alikufa akiwa ameacha watoto kumi tu duniani , Ila hakujua kuhusiana na ukoo unaoitwa Massawe, ukiachana na jina lake tu.
Baada ya miaka kuenda na kizazi cha yule mzee kuongezeka , waliitwa ni ukoo wa Massawe . Je mzee Massawe ni wa ukoo wa Massawe? Je mzee Massawe ni mwanzilishi wa Massawe?

Wakristo waliitwa ni wakristo , na sio walijiita - Kutokana na kuishi kama Kristo(Yesu) na kufuata legacy zake
Matendo 11 : 26 " Alipompata akaja naye mpaka Antiokia. Na wote wawili wakakaa huko kwa mwaka mzima, wakiwafundisha wengi walioamini katika kanisa la Antiokia. Hapo Antiokia ndipo waamini waliitwa ‘Wakristo’ kwa mara ya kwanza.

Katika Biblia neno " Dini " lina maana tofauti na yako wewe ya kuweka matabaka na kujiona bora
Yakobo 1 : 27 " Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu. "
Bado Kuna dini hapo ambayo yapasa kufuatwa Kama atakavyo huyo Mungu baba,na Kwa Imani ya (baadhi)kikiristo Mungu baba siyo yesu
 
Ukoo mmoja unaitwa Massawe , ulianzia kwa mzee mmoja anayeitwa Massawe . Mzee huyo alikufa akiwa ameacha watoto kumi tu duniani , Ila hakujua kuhusiana na ukoo unaoitwa Massawe, ukiachana na jina lake tu.
Baada ya miaka kuenda na kizazi cha yule mzee kuongezeka , waliitwa ni ukoo wa Massawe . Je mzee Massawe ni wa ukoo wa Massawe? Je mzee Massawe ni mwanzilishi wa Massawe?

Wakristo waliitwa ni wakristo , na sio walijiita - Kutokana na kuishi kama Kristo(Yesu) na kufuata legacy zake
Matendo 11 : 26 " Alipompata akaja naye mpaka Antiokia. Na wote wawili wakakaa huko kwa mwaka mzima, wakiwafundisha wengi walioamini katika kanisa la Antiokia. Hapo Antiokia ndipo waamini waliitwa ‘Wakristo’ kwa mara ya kwanza.

Katika Biblia neno " Dini " lina maana tofauti na yako wewe ya kuweka matabaka na kujiona bora
Yakobo 1 : 27 " Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu. "
Masawe alishuka toka mbinguni au ana ukoo wake!?
 
Dini ni njia ya mwanadamu kumtafuta Mungu. Na njia pekee ya kumpata Mungu wa kweli ni kupitia imani katika Yesu Kristo.


Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Yohana 14:6
Kwa hiyo Ibrahim na Musa hawaupati uzima wa milele maana hawakupata neema ya kusikiliza mafunzo ya yesu?!
 
Swali lako siyo la kijinga.
-Ukristu=unaojinasibisha na Kristu/Wamfuatao Kristu/Yesu Kristu.
-Mkristu=Mfuasi wa Yesu Kristu.
Kama Yesu Kristu aliwatuma wanafunzi waliokuwa wafuasi wake,basi walikuwa Wakristo.Maana yake ni wa kwake Kristo Yesu.Nimekujibu kwa lugha nyepesi ili uendelee kutandika kitanda.
Mungu yesu akiwahubiria watu wafuate mafundisho yake siyo!!?..
 
Dini ni njia ya mwanadamu kumtafuta Mungu. Na njia pekee ya kumpata Mungu wa kweli ni kupitia imani katika Yesu Kristo.


Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Yohana 14:6
Mungu wa kweli, Mungu yupi!?
 
images (7).png

Always 2 fools collide
 
Ni neno linalotokana na Kiarabu ndai ya Qur'an. "Din" au Kingereza wanaandika "Deen".

Maana ya 'Deen' kwa Kiarabu​

Neno "deen" (Kiarabu: دين) ni neno lenye sura nyingi ambalo lina maana na maana mbalimbali kulingana na muktadha ambao hutumiwa. Neno la Kiarabu mara nyingi hutafsiriwa kama "dini" au "imani." Hata hivyo dhana ya deen inajumuisha zaidi ya mfumo wa imani au seti ya mazoea.

lexicon ya Kiarabu pia inafafanua deen kama "hukumu" au "sheria." Maana nyingine ya msingi ya neno deen ni "njia." Inahusu jinsi mtu anavyoishi maisha yake kulingana na mafundisho ya dini yake au mfumo wa imani. Hii haijumuishi tu mazoea yao ya kiroho, lakini pia uhusiano wao na wengine, maadili yao ya maadili, na matendo yao ulimwenguni. Deen mara nyingi hutumiwa kuelezea jinsi Waislamu wanavyoishi maisha yao kulingana na mafundisho ya Uislamu.

Chanzo: The Meaning of 'Deen' in Arabic - Quranic Arabic For Busy People
Hahahaha... Leo umejibu hili swala la dini ni nini. Kwa sababu huwa nikikuuliza unakulaga kona.

Sasa nataka kujadiliana na wewe kuhusu DINI NI NINI. Upo tayari?
 
Wacha kutoa vitu akilini

Ukristo una amri na sheria kutoka Musa na baadhi ya sheria kuboreshwa zaidi na Yesu

Amri
Yesu alizitaja amri zile alizopewa Musa
Luka 18 : 18-30 " Tena, mtu mkubwa mmoja alimwuliza, akisema, Mwalimu mwema, nifanye nini ili nipate kuurithi uzima wa milele? Yesu akamwambia, Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, naye ndiye Mungu. Wazijua amri; Usizini, Usiue, Usiibe, Usishuhudie uongo, Waheshimu baba yako na mama yako . . . . . . . "

Sheria
Agano jipya nimwendelezo wa agano la kale na haikuja kufuta agano la kale
Mathayo 5 : 17 " Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. "
Amri na Sheria ni vitu viwili tofauti vinavyishabihiana
 
Hahahaha... Leo umejibu hili swala la dini ni nini. Kwa sababu huwa nikikuuliza unakulaga kona.

Sasa nataka kujadiliana na wewe kuhusu DINI NI NINI. Upo tayari?
Upeo wa kujadiliana nae kuhusu dini ni nini huna
 
Yesu si Mungu mwana na Mungu mkuu pia!!..maana wakiristo mmpo madhehebu mengi na yesu mnamchukulia tofauti Kama ilivyoparaganyika kwenye hicho kitabu chenu
Nani kakupa mamlaka ya kuhitimisha kwamba mimi ni "mkristu" na kunijumuisha kwa kuandika "mpo"?
 
Back
Top Bottom